TRA Tanzania hampo makini

TRA Tanzania hampo makini

Kama vitu gani?
Shida kubwa niliyo ibaini kwenye mifumo mingi ya serikali ni kuwa wanatumia servers ambazo ni za kowango cha chini ,speed ndogo , na cheep technology kwa sababu ya wizi wakati wa manunuzi ya vifaa hivyo

, ndio maana zikipata jam kidogo tu systems zina stuck na ndio hayo maswala ya mtandao unasumbua yanapo anzia.

Sasa wakati mwingine inawalazimu wabane bandwidth kwa baadhi ya huduma ili huduma zile za lazima zisikwame na hasa zile huduma zenye madhara endapo hazita run vizuri chini ya kiwango.

HICHO NDICHO NILICHO BAINI BAADA YA UTAFITI WANGU KWENYE HII MIFUMO MINGI YA SERIKALI
 
TRA Wanatoa Leseni ya Biashara ?
Afisa biashara hakupi leseni bila kupitia T.R.A huko ndiko usumbufu unakoanzia usipokuwa mvumilivu hata TIN na mchakato tax clearence hukamilishi. Muda unaotumia pale TRA mpaka afisa biashara akupe leseni ni wakati sasa serikali ikakamilisha kila kitu mwananch ajihudumie akiwa nyumbani kama wafanyavyo TANESCO huduma zilizo baki wao wenyewe waje kumalizia kwenye biashara zetu.

Hii ya kutoa pesa na kupoteza muda Tugawane serikal ipoteze muda wananch wapoteze pesa.
 
Shida kubwa niliyo ibaini kwenye mifumo mingi ya serikali ni kuwa wanatumia servers ambazo ni za kowango cha chini ,speed ndogo , na cheep technology kwa sababu ya wizi wakati wa manunuzi ya vifaa hivyo

, ndio maana zikipata jam kidogo tu systems zina stuck na ndio hayo maswala ya mtandao unasumbua yanapo anzia.

Sasa wakati mwingine inawalazimu wabane bandwidth kwa baadhi ya huduma ili huduma zile za lazima zisikwame na hasa zile huduma zenye madhara endapo hazita run vizuri chini ya kiwango.

HICHO NDICHO NILICHO BAINI BAADA YA UTAFITI WANGU KWENYE HII MIFUMO MINGI YA SERIKALI
kama sio sababu hizo ulizozisema basi kuna sababu zao binafsi.

ASANTE MKUU.
 
kama sio sababu hizo ulizozisema basi kuna sababu zao binafsi.

ASANTE MKUU.
Yes naungana na wewe pia TRA niliingia ndani kidogo katika utafiti wangu kuna wakati mfumo unachezewa makusudi ili wapitishe magendo yao kwa manual way ambayo ni rahisi ku kuiba na hasa wakati wa kuvusha makontena pale bandarini.
 
Kupata TIN NO siku mbili au moja, kupata leseni yaweza kukata mwezi unaenda na kurudi nauli 15000.

Alafu kuna makadilio ya mapato sijui mnatumia vigezo gani kukadilia mapato sehemu ya vijijini ambayo soko wanategemea kwa week mara moja? Hiv kuna siku itakuja ambayo mtanzania kila kitu atakamilisha akiwa ndani ya kata yake kuhusu mambo ya kodi.

UTOE KODI ALAFU BADO UPOTEZEWE MUDA HII SI NJEMA.

Umelipa kila kitu ila kupata lile karatasi la leseni inachukua week week kwenda mwezi. Halafu wafanyakaz wa tra wakituona ofisin wanaona wote walima kahawa walanguliwa ''UTASIKIA AISEEE NETWORK INASUMBUA NCHI NZIMA''

Wakati wa mabadiliko ni sasa badilikeni NYAKATI HIZI ZINAONGEA.

KARIBUNI SANA MBEYA WILAYA YA RUNGWE.

#afisa biashara jitathimini.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasimamia sheria katika ukusanyaji wa kodi na mabadiliko ya sheria hizo hufanyika pale ambapo Bunge letu linapokaa n.k.
Kuhusu leseni za biashara TRA haihusiki kutoa leseni bali tunahusika na utoajia wa namba ya Mlipakodi yaani TIN na ambayo tunatoa bila garama yoyote kwa kuwa ni haki kwa kila aliyetimiza miaka 18.

Mwisho kama kuna changamoto yoyote unaweza wasiliana kwa namba zetu za Bure kwa kupiga

0800780078 au 0800110016 au whatsapp 0744 233 333

Karibu tukuhudumie
 
Leseni za udereva ni TRA ila leseni za hiashara ni ofisi ya afisa biashara wilaya husika.
Mhhh TRA wao wanaprint tu leseni hizi wanatoa polisi kitengo cha usalama barabarani ndiyo maana kuna wakati ukienda TRA unaambiwa nenda trafiki wapasishe kwanza
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasimamia sheria katika ukusanyaji wa kodi na mabadiliko ya sheria hizo hufanyika pale ambapo Bunge letu linapokaa n.k.
Kuhusu leseni za biashara TRA haihusiki kutoa leseni bali tunahusika na utoajia wa namba ya Mlipakodi yaani TIN na ambayo tunatoa bila garama yoyote kwa kuwa ni haki kwa kila aliyetimiza miaka 18.

Mwisho kama kuna changamoto yoyote unaweza wasiliana kwa namba zetu za Bure kwa kupiga

0800780078 au 0800110016 au whatsapp 0744 233 333

Karibu tukuhudumie
darasa zuri sana hili TRA tunashukuru maana wengi tunachanganya
 
Shida kubwa niliyo ibaini kwenye mifumo mingi ya serikali ni kuwa wanatumia servers ambazo ni za kowango cha chini ,speed ndogo , na cheep technology kwa sababu ya wizi wakati wa manunuzi ya vifaa hivyo

, ndio maana zikipata jam kidogo tu systems zina stuck na ndio hayo maswala ya mtandao unasumbua yanapo anzia.

Sasa wakati mwingine inawalazimu wabane bandwidth kwa baadhi ya huduma ili huduma zile za lazima zisikwame na hasa zile huduma zenye madhara endapo hazita run vizuri chini ya kiwango.

HICHO NDICHO NILICHO BAINI BAADA YA UTAFITI WANGU KWENYE HII MIFUMO MINGI YA SERIKALI
Safi sana ,,ila watanzania sio wazalendo kwanzia mwananchi Hadi viongozi Kila kitu kinafanywa chini ya kiwango lakin viongozi wanakaa kimyaa,,wakandarus hasa wa ndani wanajenga mabarabara chini ya kiwango hata mtu ambae hujasoma unaona lakin viongozi wapo kimyaa,,majengo na vifaa ndio hivyo.
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasimamia sheria katika ukusanyaji wa kodi na mabadiliko ya sheria hizo hufanyika pale ambapo Bunge letu linapokaa n.k.
Kuhusu leseni za biashara TRA haihusiki kutoa leseni bali tunahusika na utoajia wa namba ya Mlipakodi yaani TIN na ambayo tunatoa bila garama yoyote kwa kuwa ni haki kwa kila aliyetimiza miaka 18.

Mwisho kama kuna changamoto yoyote unaweza wasiliana kwa namba zetu za Bure kwa kupiga

0800780078 au 0800110016 au whatsapp 0744 233 333

Karibu tukuhudumie
Napenda kujua mimi nifundi kushona nina Chelehan moja nimeambiwa nifunge kama sina leseni je hii nisawa?
 
Back
Top Bottom