Mkuu chukua hiyo 1.6M zidisha kwa miezi 12 kwanza then kwa asimilia 30 unapata kama 5.76M gawanya kwa nne upate kila quarter unatakiwa upeleke kiasi gani sawa na Tzs 1.44 kwa kila quarter na ww kwa ulinganifu quarter yako deadline zake ni kama ifuatavyo febr 28,May 31,Aug 31 na Nov 30,fomu ingia kwa website ya tra ucheki sehemu wameandika forms then unadownload mkuu wangu hapo unapeleka tra wanapiga muhuri plus cheque ya malipo kaka kwisha au nenda ofisi kwao wanatoa hizo form ni bure.
Hiyo kwa aliesajili TIN pekee, je akiingizwa kwenye malipo ya VRN(VAT) ni mambo gani huzingatiwa wakati wa kukokotoa kodi?