Safi sana.., kujitetea hivi ndio tunatakiwa kufanya watanzania..Daah kuna gauni la mwanamke wangu nimeagiza kwa $8 sijui watanitoza bei gani?.. ila nataka nikakomae nao kwa hoja.. endapo watanipa hiyo bili ya kulipa 27,000 watanieleza vizuri kwa kweli kwenye maandishi
Najua wanaweza kutumia ubabe kwa mwamvuli wa serikali ila ki vyovyote vile watakuwa wanakosea sana.. Haya mambo yana athiri kwa kiasi kikubwa sana uchumi wetuSafi sana.., kujitetea hivi ndio tunatakiwa kufanya watanzania..
Sio kuwaacha watendaji wa serikali kufanyaa watakavyo..
Andaa ushahidi wako wa manunuzi ili uutumie kama ushahidi ktk kujitetea wakikuongozea makodi...
Muheshimiwa unaweza kuta kuna sale unanunua kitu kizuri $8 au $5 na shipping free pia vijana wengi walijiari kupitia eBay, Alibaba na masoko mengine mengine . Pia kuna black Friday kama jana unanunua vitu kwa nusu ya bei. Hamna ajira kwa sababu serikali haiwezi ajiri watu wote hata hizi loop hole ndogondogo mnakaba.Mkuu, una import viatu vya mtoto bado unajiita malala hoi???
Kama kiberiti kwa mangi kinalipiwa kodi basi hata wewe uki import flash disk basi utuchangie kodi
Kwa mawazo ya watu kama wewe Tanzania yenye neema tusubir sana. Mtoa Uzi sidhan kama kuna sehemu amesema hataki kuchangia kodi. Yeye amelalamika kodi aliyokadiriwa kwa kulinganisha na bidhaa aliyoiimport.Mkuu, una import viatu vya mtoto bado unajiita malala hoi???
Kama kiberiti kwa mangi kinalipiwa kodi basi hata wewe uki import flash disk basi utuchangie kodi
Tatizo watu wengi hawafahamu kununua nje ni cheap kuliko kununua hapa, kwanza bidhaa zetu hapa madukani nyingi ni fake na bei zake ni kubwa kuliko original za nje. Mimi nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kununua bidhaa za electronics hapa tz, na Nina save kiasi kikubwa cha pesa eg TV ya USD 400 hapa kwetu bei yake ni almost 3 times. Tatizo la tra huwa wanakadiria tu thamani ya mizigo changamoto hii utaipata tu hata ukitumia courier eg dhl , ups atcMuheshimiwa unaweza kuta kuna sale unanunua kitu kizuri $8 au $5 na shipping free pia vijana wengi walijiari kupitia eBay, Alibaba na masoko mengine mengine . Pia kuna black Friday kama jana unanunua vitu kwa nusu ya bei. Hamna ajira kwa sababu serikali haiwezi ajiri watu wote hata hizi loop hole ndogondogo mnakaba.
Kunafursa ya kodi mfano kurasimisha sekta ya usafiri mfano madereva na makonda wawe wanalipa kodi pia wapate bima za afya.
Vile madereva wa maroli na magari makubwa warasimishe haya makundi yana watu wengi let say walipe 10k kwa kichwa utajua kwa mwezi inaingia ngapi.
Wanao import wengi ni vijana wanaouza smartwatch , pendrive na external hdd ebu wasomi wakodi mrasimishe kwanza sekta kubwa ya usafirishaji itachangia zaidi kuliko na kudeal na mtu alienunua pendrive za 50k kwa $1 hadi $5
Kama ana receipt na evidence kwanin kodi ikadiriwe??? Percent ya kodi inajulikana. Mtu anapoficha gharama za bidhaa aliyonunua ndo hukadiriwa kodiKwa mawazo ya watu kama wewe Tanzania yenye neema tusubir sana. Mtoa Uzi sidhan kama kuna sehemu amesema hataki kuchangia kodi. Yeye amelalamika kodi aliyokadiriwa kwa kulinganisha na bidhaa aliyoiimport.
fungua kesi mahakamani... mtafute mwanasheria... iwe funzo kwa shirika... ili tukamate mali za shirika na wateja wao... kama wacanadaMe kuna mzigo wangu umefika pale.. naenda nawapa tracking number wanasema eti kwenye system unaonyesha umefika ila hawajui ulipo..
Yani hapa sijui nifanyeje. Kila siku story ni zile zile.
Swala la uaminifu linatushishia heshima sana hata wanaoshinda makanisani na misikitini ndio maana baadhi ya nchi wanakataa shipping za kuja nchi zetuMe kuna mzigo wangu umefika pale.. naenda nawapa tracking number wanasema eti kwenye system unaonyesha umefika ila hawajui ulipo..
Yani hapa sijui nifanyeje. Kila siku story ni zile zile.
Hakuna mzigo unaotoka nje bila kuwa na documentsKama ana receipt na evidence kwanin kodi ikadiriwe??? Percent ya kodi inajulikana. Mtu anapoficha gharama za bidhaa aliyonunua ndo hukadiriwa kodi