Upo sahii yana mkuuTRA ni chanzo cha kufa kwa biashara
Mi natumia sana Alibaba na aliexpress juzi nimeagiza smartbands (miband2) pisi tano tu za ndugu na jamaa kila moja ni kama dola 22.6 hivi mpaka inafika hapa ila kodi zao balaaa. Pamoja na kuwapa invoice na Bank slip niliyolipia barclays.. Nadhani kuna haja ya wahusika kuangalia upya haya mambo…Me mnunuzi mzuri wa aliexpress na eBay vitu nachukulia posta Zamani gharama ilikuwa sh 1000 kwa parcel, Sasa hivi 1500 kwa kila yeye huyo rafiki yako alinunua kwa njia Zipi??
Madai yao ni kuwa wafanyabiashara wa bongo wanakoludi na wauzaji alibaba kudiklea bei ya chini kuliko bei halisi ingawa hata sasa ukiwapa bank slip uliyolipia mzigo hawataki wanataka kadiria wanavyojua waoHakuna mzigo unaotoka nje bila kuwa na documents
Haipit week naenda kufata mizigo paleAgiza tena utakutana nao
Ni simu ndugu. Yani imenibidi niclaim geekbuy kwa ajili ya refund.
Wakiendelea hivi yani hii ishu ya e-commerce Tanzania itatushinda.
Mi natumia sana Alibaba na aliexpress juzi nimeagiza smartbands (miband2) pisi tano tu za ndugu na jamaa kila moja ni kama dola 22.6 hivi mpaka inafika hapa ila kodi zao balaaa. Pamoja na kuwapa invoice na Bank slip niliyolipia barclays.. Nadhani kuna haja ya wahusika kuangalia upya haya mambo…
[QUOTEKwenye country code weka code ya nchi yoyote mradi nchi umejaza Tanzania namba Yako ya simu
Mzigo ukifika posta wanakutumia msg uwende ukafate .
Country code hiyo ya haikubali inagoma Hiyo code 255 ni ya simu . Tanzania Hatuna code noCountry code ya Tanzania ni 255
usiweke yoyote! weka hiyo. Namba ya simu jaza ya kwako
Mkuu bei rahisi saana ukiagizaMkuu, una import viatu vya mtoto bado unajiita malala hoi???
Kama kiberiti kwa mangi kinalipiwa kodi basi hata wewe uki import flash disk basi utuchangie kodi