TRA tunaomba update ya hii kauli ya Rais

TRA tunaomba update ya hii kauli ya Rais

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
TRA mnakumbuka hii kauli ya Rais? Mmefikia wapi? Jana nimesikia TRA kwa upande wa kodi ya majengo wamepata msamaha wa riba kuanzia July hadi December. Mbona kwa wafanyabiashara zingine hatusikii kauli ya TRA? Mnangoja nini?
IMG-20220726-WA0000.jpg
 
Madeni yapo pale pale tu, hakuna msamaha Wa kodi yeyote , ukitaka kujua hilo Kama unadaiwa nenda kasogeze pua yako TRA
 
Back
Top Bottom