TRA wafunga maduka

TRA wafunga maduka

sayoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
5,280
Reaction score
7,930
Hivi TRA mnapowafungia watu maduka na offisi zao , watapata wapi pesa za kulipa hizo kodi za serekali?
Maana nimepita juzi na Jana mitaa ya Buguruni nimekuta frem kibao karibia mtaa wote kule Buguruni kwa mnyamani frem zote zimefungwa kuuliza naambiwa TRA wamefunga kisa kisa kodi na mashine za EFD.
TRA kaeni na wafanya biashara hasa Hawa wadogo wadogo muwape elimu ya mlipa kodi , kuwafaungia sio suluhisho maana hizo kodi mnazotaka walipe wanazipata kupitia hayo hayo maduka mliyowafungia.

Hayo ni maoni yangu tu.
 
Tulikubaliana siku zote Wamachinga si walipa kodi na wanabania riziki za mauzo Wafanyabiashara wa kati na wa juu zaidi kimaendeleo.

Kulikoni tena ndugu zangu wa-TZ?
 
Hivi TRA mnapowafungia watu maduka na offisi zao , watapata wapi pesa za kulipa hizo kodi za serekali?
Maana nimepita juzi na Jana mitaa ya Buguruni nimekuta frem kibao karibia mtaa wote kule Buguruni kwa mnyamani frem zote zimefungwa kuuliza naambiwa TRA wamefunga kisa kisa kodi na mashine za EFD.
TRA kaeni na wafanya biashara hasa Hawa wadogo wadogo muwape elimu ya mlipa kodi , kuwafaungia sio suluhisho maana hizo kodi mnazotaka walipe wanazipata kupitia hayo hayo maduka mliyowafungia.

Hayo ni maoni yangu tu.
Mzungu hawawezi mfungia,wanajichekesha kwake wanaishia yes sir, no,of course
 
Uingereza kosa la kushindwa, kuchelewa au kukwepa kulipa Kodi ni kifungo cha hatar, Tanzania kinachofanywa na TRA ni huruma Sana dhidi ya wafanyabiashara nchi haiendeshwi Kwa msamaha WA Kodi au kuchukulia poa suala la Kodi, Ripa Kodi Kwa maendeleo ya Taifa lako.
 
Uingereza kosa la kushindwa, kuchelewa au kukwepa kulipa Kodi ni kifungo cha hatar, Tanzania kinachofanywa na TRA ni huruma Sana dhidi ya wafanyabiashara nchi haiendeshwi Kwa msamaha WA Kodi au kuchukulia poa suala la Kodi, Ripa Kodi Kwa maendeleo ya Taifa lako.
Nikisema weww ni mwehu utakataaa mzee wangu kweli?
 
Serikali itende haki kila mtu alipe kodi
 
Back
Top Bottom