Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
MtanikumbukaTRa wagoma kufungua office vingunguti wananchi Wataka kuvunja mlango nakulazimisha wahudumiwe hadi saizi milango imefungwa walipa kodi wako mje wengine wameamua kuondoka zao .
Kwa kuwakomoa ni hao walipa kodi wanye na kutapanya marvey kila mahali kama yule mama bonge wa vipodozi kariako aliungua uso akikukopesha vipoz hushindwe kumlipa anakuja mbele ya fremu yako na kuanza kuvua chupi na kunya unajikuta tu unamwahi kumlipa.
Katumia sana iyo strategy ya kunya kulipwa madeni yake
Washenzi sana wamevurugara ratiba zetu wanafukiri kila mtu kaajirawa na TRAAisee
mama Bonge nomaππKwa kuwakomoa ni hao walipa kodi wanye na kutapanya marvey kila mahali kama yule mama bonge wa vipodozi kariako aliungua uso akikukopesha vipoz hushindwe kumlipa anakuja mbele ya fremu yako na kuanza kuvua chupi na kunya unajikuta tu unamwahi kumlipa.
Katumia sana iyo strategy ya kunya kulipwa madeni yake
vikao huwa vinafanyika muda ambao si wa kazi.huwezi kupoteza mapato kwa ajili ya vikao kwanza ni kuwapotezea muda wafanyabiashara.vikao mara nyingi huwa vinapoteza muda wa kufanya kazi.Tumia busara kuwasiliana nao.labda kuna jambo la dharura au kikao nyeti
Unataka kulipa Kodi au kuna mshikaji hapo ndani unataka akutoe hela ya supu?Wamegoma hadi saizi kama Kuna mtu mwenye namba ya makao makuu nitumie wajinga sana
Wabongo kwa ulalamishi sijui nani kawaroga!! Hivi kama mle ndani kuna tatizo linatatuliwa mnataka muingie kukaa tu?vikao huwa vinafanyika muda ambao si wa kazi.huwezi kupoteza mapato kwa ajili ya vikao kwanza ni kuwapotezea muda wafanyabiashara.vikao mara nyingi huwa vinapoteza muda wa kufanya kazi.
Na akinya marvey yule mama si chini ya Tani tatuKwa kuwakomoa ni hao walipa kodi wanye na kutapanya marvey kila mahali kama yule mama bonge wa vipodozi kariako aliungua uso akikukopesha vipoz hushindwe kumlipa anakuja mbele ya fremu yako na kuanza kuvua chupi na kunya unajikuta tu unamwahi kumlipa.
Katumia sana iyo strategy ya kunya kulipwa madeni yake
πππHamna jiwe fatuma hapo ?
Nimecheka sana basi tuuHamna jiwe fatuma hapo ?