TRA wagoma kufungua ofisi Vingunguti

TRA wagoma kufungua ofisi Vingunguti

Wabongo kwa ulalamishi sijui nani kawaroga!! Hivi kama mle ndani kuna tatizo linatatuliwa mnataka muingie kukaa tu?

Watu wenyewe hata kulipa Kodi mpaka msukumwe, tuondoleeni hapa Umbea wenu. Haya hata hiyo picha ya mlango umefungwa hamuwezi kupiga?
inshu kama kuna tatizo wawaeleze wadau na siyo kujifungia ndani.hali kama hiyo huwezi kuikuta kwenye nchi za wenzetu.tatizo nchi hii mifumo iliishaharibika ndo maana JPM alikuwa anafanya kwa kadili alivyokuwa anafikiri sababu watz vichwa vyetu pia ni vibovu.
 
Na akinya marvey yule mama si chini ya Tani tatu
Yani ndo hapo sasa serikali inabidi ichangamkie fursa. Wataalam wanadai marvey ya binadamu ni nishati bora sana. Na mimama minene kama hii inayokunya tani za kutosha za marvey ni national assets na treasure. Ni kuyakusanya na kuyamobilise na kuyapa target za marvey watakazokunya kwa siku ili tuwe na umeme wa uhakika usiokatika.
 
TRA Tanzania wagoma kufungua office za Vingunguti, wananchi wataka kuvunja mlango na kulazimisha wahudumiwe. Hadi muda huu milango imefungwa, walipa kodi wako nje na wengine wameamua kuondoka zao.
Mishahara mpaka muda huu haijalipwa. Unategemea nini hapo
 
TRA ya Vingunguti ni waswahili sana hata baada ya kufungua wako slow sana kama wanatukomoa vile.

Zaidi ya saa moja na nusu napigwa danadana ku print out tax clearance ni mchakato wa siku nzima na nusu,hapa vingunguti ndiomaana Kuna vishoka hawa jamaa ni wazito sana.
 
TRA Tanzania wagoma kufungua office za Vingunguti, wananchi wataka kuvunja mlango na kulazimisha wahudumiwe. Hadi muda huu milango imefungwa, walipa kodi wako nje na wengine wameamua kuondoka zao.
Inaonyesha kama TRA hawana tatizo na wala Wafanyabiashara nao pia hawana tatizo. Possibly tunatakiwa kum-identify tu mtu anayewagonganisha TRA na Wafanyabiashara, kama yupo
 
Wabongo kwa ulalamishi sijui nani kawaroga!! Hivi kama mle ndani kuna tatizo linatatuliwa mnataka muingie kukaa tu?

Watu wenyewe hata kulipa Kodi mpaka msukumwe, tuondoleeni hapa Umbea wenu. Haya hata hiyo picha ya mlango umefungwa hamuwezi kupiga?
Ustaarabu ni kutoa taarifa, unless wote wamepata tatizo
 
Inaonyesha kama TRA hawana tatizo na wala Wafanyabiashara nao pia hawana tatizo. Possibly tunatakiwa kum-identify tu mtu anayewagonganisha TRA na Wafanyabiashara, kama yupo
Bongo kilakitu tabu usipolipa kodi tabu ukisema ukalipe bila shuruti tabu bado lipoti ya CAG anatuambia hicho kipesa choko ulokilipa kwambinde wajanja wamelala nacho mbele.
 
Back
Top Bottom