TRA wamekuja ofisini kwetu wakitaka kukagua hesabu za 2012 Hadi 2017

TRA wamekuja ofisini kwetu wakitaka kukagua hesabu za 2012 Hadi 2017

Waambie hamtunzi vitabu zaidi ya miaka mitano nyuma. Halafu uwaulize sababu za msingi za examination kwa miaka mingi hivyo ni nn? Tumieni mwanasheria na mtaalam wa kodi kinyume na hapo kama kuna makosa nyuma interest na penalties mtakazolipa zitakuwa kubwa mno.
Wanasena ni Investigation ya kawaida
 
Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?

Mi najua sheria ni miaka mitando nyuma.

Wataalamu tuelimishane, maana nibampango wa kuwabishia wakija kukagua.
tii sheria bila kushurutishwa! Kuna mawili wanaweza wakawa wamekutoza kodi zaidi, huoni kama watakurudishia? Na kama umelipa kidogo utalipa balance pia! Usijaribu kuhonga! kulipa kodi stahiki ni jukumu na uzalendo mkuu!
 
Mfano kama mwanadamu yeyote yule,umepoteza copies,inakuaje?

Maana copy za hesabu sometimes wakati wa kwenda kuomba leseni mbalimbali wanazitaka,umezitumia zote zimeisha,huna copy,wanakufanyeje?

Kumbuka huyu mtu kaandika mahesabu kakaguliwa na kwenye system ni "closed",what do you say?

Na kingine tuelewane,watanzania wanatakiwa waelewe,serikali sio watanzania,mtanzania yeyote anatakiwa awe upande wa mtanzania mwenzake na sio upande wa serikali right or wrong!

Cha ajabu snitches ni all over the place..sijui serikali ilishawahi wasaidia nini wakati huyo mtanzania mwenzako anakupa ajira,siku huna nyanya unaweza enda mkopa,etc...serikali hivi ilishawahi kujua wanao wameshinda njaa or anything?
Kwa uelewa wangu upo sawa. Audit ikishafungwa kwenye system hawatakiwi kurudi nyuma ila wanapaswa waendelee pale wenzao walipo ishia.
 
Waambie hamtunzi vitabu zaidi ya miaka mitano nyuma. Halafu uwaulize sababu za msingi za examination kwa miaka mingi hivyo ni nn? Tumieni mwanasheria na mtaalam wa kodi kinyume na hapo kama kuna makosa nyuma interest na penalties mtakazolipa zitakuwa kubwa mno.
mleta uzi amesema ni investigation sio examination.
 
Wanasena ni Investigation ya kawaida
Sasa investigation ya kawaida walikuwa wapi wasiifanye tangu 2012? Tumieni mwanasheria, bora mumlipe mtu kuliko yatakayowakuta endapo kuna human errors kwenye hesabu au kama kuna malipo hayakufanyika.
 
Mfano kama mwanadamu yeyote yule,umepoteza copies,inakuaje?

Maana copy za hesabu sometimes wakati wa kwenda kuomba leseni mbalimbali wanazitaka,umezitumia zote zimeisha,huna copy,wanakufanyeje?

Kumbuka huyu mtu kaandika mahesabu kakaguliwa na kwenye system ni "closed",what do you say?

Na kingine tuelewane,watanzania wanatakiwa waelewe,serikali sio watanzania,mtanzania yeyote anatakiwa awe upande wa mtanzania mwenzake na sio upande wa serikali right or wrong!

Cha ajabu snitches ni all over the place..sijui serikali ilishawahi wasaidia nini wakati huyo mtanzania mwenzako anakupa ajira,siku huna nyanya unaweza enda mkopa,etc...serikali hivi ilishawahi kujua wanao wameshinda njaa or anything?
Well basically wakisema evidence ni receipt book ya manunuzi na mauzo;

Unatakiwa kufanya book keeping ya ivyo vitu (not necessary every sales transaction you do) but generally purchases.

Unatakiwa kuwa na business account na utumie hiyo for your transaction

Receipt books inatakiwa kuwa na VAT number yako (hayo ni matakwa ya kijijini kwetu).

Lengo ya hizo evidence ni for tracking purposes.

You can’t loose all of those evidence at once yaani upoteze receipts, ledgers, na bank details at once. Surely utakuwa mchokozi.
 
mleta uzi amesema ni investigation sio examination.
Ooh, asante kwa alert...basi ss kuna tatizo kumbe, maana tax investigation ni audit hiyo. Huenda wanahisi wamekwepa kodi au wana ujanja ujanja. Hakunaga investigation ya kawaida hiyo ni special audit. Still wanahitaji mtaalam wa kodi na mwanasheria kuwajibia.
 
Sasa investigation ya kawaida walikuwa wapi wasiifanye tangu 2012? Tumieni mwanasheria, bora mumlipe mtu kuliko yatakayowakuta endapo kuna human errors kwenye hesabu au kama kuna malipo hayakufanyika.
investigation inafanyika pale inapobainika kuna kosa la jinai. ikitokea imebainika kuna jinai imefanyika hata kama ni miaka 100 watafanya investigation tu. cha muhimu ni kuwapa ushirikiano.
 
2012 - 2015 ilikuwa miaka ya neema, na huenda hamkulipa kodi ipasavyo
2016-2021 huenda mmelalamika hamna mapato hivyo mpunguziwe kodi

patana na mshitaki/mjoli wako kabla ya kwenda kwa kadhi
 
Ooh, asante kwa alert...basi ss kuna tatizo kumbe, maana tax investigation ni audit hiyo. Huenda wanahisi wamekwepa kodi au mna ujanja ujanja. Hakunaga investigation ya kawaida hiyo ni special audit. Still wanahitaji mtaalam wa kodi na mwanasheria.
TRA ina aina tatu tofauti za ukaguzi wa kodi.. kuna examination, audit na investigation. mtu unaweza kufanyiwa examination na bado ukafanyiwa tena audit na baadae muda umepita unashangaa unafanyiwa investigation kwa kesi ileile
 
Sasa investigation ya kawaida walikuwa wapi wasiifanye tangu 2012? Tumieni mwanasheria, bora mumlipe mtu kuliko yatakayowakuta endapo kuna human errors kwenye hesabu au kama kuna malipo hayakufanyika.
kushindana na TRA si jambo dogo, cha msingi wakae meza moja wayaone mapungufu yatakayojitokeza kwenye hiyo miaka kisha wayamalize yanajadilika hayo. Kwanza wawape info zote wanazohitaji hao mabwana then mapungufu yatakayojitokeza wakae mezani - yanajadilika tu.

Kutunishiana misuli na TRA ni shughuli si ya kitoto.
 
Ooh, asante kwa alert...basi ss kuna tatizo kumbe, maana tax investigation ni audit hiyo. Huenda wanahisi wamekwepa kodi au wana ujanja ujanja. Hakunaga investigation ya kawaida hiyo ni special audit. Still wanahitaji mtaalam wa kodi na mwanasheria kuwajibia.
Watanzania huwa hatupendi kutumia wataalamu. Kuna watu wako tayari kujenga nyumba ya 300mil lakini hawapo tayari kumlipa injinia 5mil ili asimamie kazi yake.

Siku ufa ukitokea ndio anatafuta mtaalamu.
 
Back
Top Bottom