Peter Bundala
Member
- Dec 28, 2017
- 37
- 68
Mauzo ya TSH 100m kwa mwaka kwa bidhaa zilizo na VAT ni lazima ujiunge na VAT, kinyume chake unafanya kosala jinaiNauliza wataalamu ni haki kuingia VAT kwa mtaji wa mil 15 lkn mauzo ni mil 110 kwa mwaka
Nauliza wataalamu ni haki kuingia VAT kwa mtaji wa mil 15 lkn mauzo ni mil 110 kwa mwaka
Ndio mkuuHapo wastani wako wa mauzo ni laki 280000tsh kwa siku!
Ni kosa kubwaKosa langu ni kukata risit halali
Na mashine zao sasa ni bei mbaya....walitakiwa wapunguze bei ili kila raia awe nayoNdo maana wanataka watu wawe na efd maana itawakamatisha tu
Ndio mkuu
Lkn faida unakuta 10000 au 12000
Na hapo ndo wahuni tunapoingia mitini[emoji23][emoji23]TRA wanaangalia mauzo tu,faida utajua wewe na Mungu wako!
Unauza caton za maji au?πππNdio mkuu
Lkn faida unakuta 10000 au 12000
πUnauza caton za maji au?πππ
Obviously wewe ni wale wanaochukua mali kauli kwa matajiri wanaouzia store huku ukitoa receipts halali na bahati mbaya ukitengeneza faida ndogo.Kosa langu ni kukata risit halali