Hii ya miezi 6 walizingua.Condition za mtu kuwa VAT registered moja wapo ni kuwa na taxable supplies over 100m kwa miezi 12 mfululizo au over 50m kwa miez 6 mfululizo....vinginevyo labda ingekua exempted Supplies
Naamini hio ndio biashara ya kujaza fremu kwa faida ya 200/200 mikatoni kibao faida buku 😂😂😂
Siku ukifanya biashara utagundua ilivyo rahisi kukusanyaKwani shida iko wapi kwani unapocalculate vat unakua hujajua faida yako nachojua VAT analipa mnunuaji we muuzaji unaisaidia TRA kuikusanya
Ukiwa hapo 2th floor kwenye kiti cha kuzunguka ndani ya kiyoyozi chini ume-park Subaru ya mkopo hesabu hizi unaziona nyepesi sana kiasi huwezi kuujua msoto anaoupata mfanyabiashara.Kwani shida iko wapi kwani unapocalculate vat unakua hujajua faida yako nachojua VAT analipa mnunuaji we muuzaji unaisaidia TRA kuikusanya
Mtaji kiduchuNaamini hio ndio biashara ya kujaza fremu kwa faida ya 200/200 mikatoni kibao faida buku 😂😂😂
Hapo umenunua 4800 labda unauza 500 ajabu kwenye hii ndo wanakta asilimia 18 kuna mtu anakuambia anaelipa ni mteja ajabu sanaNaamini hio ndio biashara ya kujaza fremu kwa faida ya 200/200 mikatoni kibao faida buku [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu hawajui lakini wabishi kodi za kibongo hazilipikiSiku ukifanya biashara utagundua ilivyo rahisi kukusanya
Hisabati ni janga la Taifa.Hapo wastani wako wa mauzo ni laki 280000tsh kwa siku!
Mmmhh uzidishe na laki ili upate nini boss?Hisabati ni janga la Taifa.
Yaani unaposema laki 280,000 Tsh inakubidi uzidishe kwa laki 1 yaani 100,000 ama uongeze sufuri 5 ambapo inakuwa Shilingi 28,000,000,000.
Narudia kusema Hisabati ni janga kubwa la Taifa.Mmmhh uzidishe na laki ili upate nini boss?
Kukata mzizi wa fitna fungua kampuni hapo ndo mtaenda sambamba. Ila ukitaka kukaa ki presumptive bakora zake ndio hizo.TRA wanaangalia mauzo tu,faida utajua wewe na Mungu wako!
Na hapo ndo wahuni tunapoingia mitini[emoji23][emoji23]
Hisabati ni janga la Taifa.
Yaani unaposema laki 280,000 Tsh inakubidi uzidishe kwa laki 1 yaani 100,000 ama uongeze sufuri 5 ambapo inakuwa Shilingi 28,000,000,000.
Labda nabishana na kichaa!Ujuaji mwingi kumbe kichwani upo mweupe wewe dagaa!,ni hivi unachukua 110000000 kisha unagawanya kwa 12 unapata milioni 9 kisha unagawanya kwa siku 30 ndio unapata wastani wa mauzo kwa siku pimbi wewe!
Mmmhh uzidishe na laki ili upate nini boss?
Labda nabishana na kichaa!
Kwaheri.