Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Iko hivi, nina biashara ambayo niliifungua kupitia familia, wakati huo nilikuwa bize na shule na umri haukuruhusu kupewa nyaraka na gavoo, pia familia hawakutaka nijihusishe na side hustle ila walisapoti wakawa wanasimamia show zangu.
Wanasema cha mtu mavi, ukitaka ubaya kabidhi ndugu mali, sikutaka ifike huko nilipomalizana na shule nikataka nibadili biashara irudi kwangu ki documents.
Mimi ni wale watu wasiopenda shida na karaha na taabu, so niliingia TRA portal nikachange TIN yangu kuwa BUSINESS TIN, nikaenda TRA wakaniletea longo longo na hesabu zao za kodi za kitapeli (makadilio ya kodi kwenye biashara yakawa makubwa kuliko kodi tuliyokuwa tunalipa tayari kama familia )
Niliwasilisha tu taarifa za mtaji na vitu muhimu lakini sikuwaambia kama nabadili umiliki wa biashara na wala sikuhusisha kuitaja ile biashara kuwa ipo chini ya familia, nilitaka wakinipa nyaraka then ile nyingine familia waandikie imefirisika.
Hatukufikia muafaka na kwa kuwa biashara ilikuwa inaenda good nikaon aniache kwanza kufatilia TRA na pia nilipata ajira nikawa bize siku za kwenda TRA ikawa issue.
AJABU YA TRA
Mwaka huu May wameanza kunitumia meseji niende kufanya makadilio ya kodi na nilipe kabla ya 31 may kuepuka adhabu, hii wametoa wapi kama hatukufikia muafaka wa mimi na wao kuhusu kodi na hata nilipojaribu kufosi nipate mashine ya EFD kwa jna langu la ofisi waligoma wakasema sijakamilisha taratibu zao.
Familia inalipa kodi kwa mujibu wa makadilio na mimi sihusiki nayo kabisa kwa sasa.
Wanasema cha mtu mavi, ukitaka ubaya kabidhi ndugu mali, sikutaka ifike huko nilipomalizana na shule nikataka nibadili biashara irudi kwangu ki documents.
Mimi ni wale watu wasiopenda shida na karaha na taabu, so niliingia TRA portal nikachange TIN yangu kuwa BUSINESS TIN, nikaenda TRA wakaniletea longo longo na hesabu zao za kodi za kitapeli (makadilio ya kodi kwenye biashara yakawa makubwa kuliko kodi tuliyokuwa tunalipa tayari kama familia )
Niliwasilisha tu taarifa za mtaji na vitu muhimu lakini sikuwaambia kama nabadili umiliki wa biashara na wala sikuhusisha kuitaja ile biashara kuwa ipo chini ya familia, nilitaka wakinipa nyaraka then ile nyingine familia waandikie imefirisika.
Hatukufikia muafaka na kwa kuwa biashara ilikuwa inaenda good nikaon aniache kwanza kufatilia TRA na pia nilipata ajira nikawa bize siku za kwenda TRA ikawa issue.
AJABU YA TRA
Mwaka huu May wameanza kunitumia meseji niende kufanya makadilio ya kodi na nilipe kabla ya 31 may kuepuka adhabu, hii wametoa wapi kama hatukufikia muafaka wa mimi na wao kuhusu kodi na hata nilipojaribu kufosi nipate mashine ya EFD kwa jna langu la ofisi waligoma wakasema sijakamilisha taratibu zao.
Familia inalipa kodi kwa mujibu wa makadilio na mimi sihusiki nayo kabisa kwa sasa.