KERO TRA wananitumia meseji nikafanyiwe makadirio wakati hatukufikia makubaliano

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mwache arukeruke, naona bado ana utoto mwingi sana!
 
... umiliki wa biashara na wala sikuhusisha kuitaja ile biashara kuwa ipo chini ya familia, nilitaka wakinipa nyaraka then ile nyingine familia waandikie imefirisika.
TRA mpitie huku. Hivi kuandika kwamba imefirisika, sio mbinu za kukwepa kodi kweli?

Muwe mnalipa kodi Jamani. Tunahitaji mabarabara, mahospitali na mishahara minono kwa walimu wetu.


TRA hawakosei makadirio kihivyo.
 
Kujianika kuna attract maadui wengi zaid kuliko marafiki. Tatizo mtu yiko addicted ma umaarufu hawezi acha kujianiks
 
Mkuu hapo kuna mambo hujaweka sawa na hueleweki.

Je biashara msimamizi ni nani hata kama ni ya familia? Lazima kuwe na muwakilishi hawawezi fuata familia nzima.
Je ulibadili namba wakati wa hizo process?
Je familia inalipa kodi sahii?
Kwa nini ulitaka ubadili umiliki bila kushirikisha familia?

Hata usipotokea mahakamani kesi huwa inaamuliwa bila muhusika kuwepo sasa ukishadakwa ndio utakata rufaa. Unafikiri ukikaa kimya ndio hawatakukadiria?

Kiufupi umechanganya mambo mengi sana kwenye uzi wako.
 
TRA mpitie huku. Hivi kuandika kwamba imefirisika, sio mbinu za kukwepa kodi kweli?

Muwe mnalipa kodi Jamani. Tunahitaji mabarabara, mahospitali na mishahara minono kwa walimu wetu.


TRA hawakosei makadirio kihivyo.
Huyu dogo ni mpumbavu mno.
 
Niffer anafanya show off za kitoto sana. Nadhani hili likipita hatarudia tena.
 
TRA mpitie huku. Hivi kuandika kwamba imefirisika, sio mbinu za kukwepa kodi kweli?

Muwe mnalipa kodi Jamani. Tunahitaji mabarabara, mahospitali na mishahara minono kwa walimu wetu.


TRA hawakosei makadirio kihivyo.
Hili toto jinga tu! Na huko shule naona lilienda kusomea ujinga!
 
Uwe una weka hata na ushahidi hata kidogo na wew.
 
unaweza kuwa unawalaumu tra bure kumbe hata wewe kuna shida mahali umekosea.Baada ya kuwa uliomba tin ya biashara na kufika ofisini kwao ulitakiwa kuandika barua kuwa umesimamisha biashara maana tayari ulishaanza kuonekana unabishara sasa kosa lako ulikaa kimya na tayari ulishakuwa na tin ya biashara. wakati mwingine janja janja zetu zinatuponza. Ushauri rudi ukafatilie maana unaweza kuta deni linakuwa kwa kuwa hujawahi fika tena fatilia itaonekana unafanya biashara kimya kimya.
 
KALIPE TU HUKU HAKUNA MSAADA NIKUJUAVYOO

ANAEKWAMBIA UKWELI ANAKUSAIDIA TUNAONGEZA BARABARA UBUNGO KMR ...KMR BONYOKWA ZOTE HIZI N HELA ZINAHITAJIKA
 
Mwambie ykwelii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…