polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Napendekeza TRA waweke mfumo wa wazi ili watu waweze kutizama Taarifa za usajili wa gari, piki piki au bajaj ili kujia mmiliki halali ni nani
Mnaficha kitu gani kuweka mfumo huo kuwa huru? Mbona ni jambo ambalo linawezekana na ni jepesi tu
Hili litasaidia sana kuzuia watu kutengeneza kadi feki kwa sababu mtu akitaka kununua chombo cha moto anaingia kwanza kwenye mfumo nankutizama umiloko halali wa chombo hicho taarifa ambazo zitakuwa zimeunganishwa na NIDA na picha ya mmiliki.
Mnaficha kitu gani kuweka mfumo huo kuwa huru? Mbona ni jambo ambalo linawezekana na ni jepesi tu
Hili litasaidia sana kuzuia watu kutengeneza kadi feki kwa sababu mtu akitaka kununua chombo cha moto anaingia kwanza kwenye mfumo nankutizama umiloko halali wa chombo hicho taarifa ambazo zitakuwa zimeunganishwa na NIDA na picha ya mmiliki.