TRA-written interview

TRA-written interview

Najuta maana hata department za tax nilikuwa sijui, nikabakia na customs and excise tu. Kwenye hesabu mi blank ya kutosha. Katikati watu stini wa kesho siwezi kuwepo maana vichwa nilikuwa vingi sana..
 
aya maswala ya kuangalia gpa za juu ni makosa:A S-frusty2:
kupata gentleman pass haimaanishi mtu hatapiga kazi vzr

basi tu huu utawala
 
Interview imekwisha, tukubaliane na yatakayokuwa matokeo then tugange yajayo. Ila kwa waliohudhuria tulikuwa kama 400, hivi kweli hzo booklets zaweza kusahihishwa leo, kupanga marks na kubandika kama walivyosema kuwa kesho sa saba kitu kitakuwa hewani?wanasahihisha kwa umakini au wanavigezo vyao tyr?
 
vp assisstant accountants,wanaita lini ?
Maake custom holla ,nasubiri hiyo ya accountant labda ntakuwemo....
 
Watu jana walienda fanya interview sasa hayo maswali sasa!
TRA ina department ngapi?
Tz ina border ngapi?
TRA ina mkakati wa kukusanya mapato ya kiasi gani kwa 2012/13?
Alafu na vihesabu vya hapa na pale!
 
Back
Top Bottom