TRA yadaiwa kuanza kuvamia wawekezaji wa kigeni na kudai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15 nyuma. Je, Serikali ina uhaba wa fedha?

TRA yadaiwa kuanza kuvamia wawekezaji wa kigeni na kudai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15 nyuma. Je, Serikali ina uhaba wa fedha?

Nyasi-Man

Senior Member
Joined
Sep 3, 2023
Posts
171
Reaction score
351
Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.

Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.

My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.
 

Attachments

Hizi tetesi naona zina ukweli ndani yake, nikitazama mfano mdogo tu wa kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma mwezi huu, automatically nilijua hazina imekauka.

Swali ninalojiuliza hazina imekaushwa na nini? inawezekana kabisa halibya kibiashara inachangia ndio maana kila siku ni safari za nje kutafuta mikopo.

Lakini nikikumbuka walivyoruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao, hapa ndio napata jawabu rasmi, huko serikalini sasa hivi kila mmoja anadokoa chochote anachoona kinamfaa, hakuna wakumzuia mwenzake wala kumuogopa bosi wake.

Samia amefeli kabisa kuongoza hili taifa.
 
Hizi tetesi naona zina ukweli ndani yake, nikitazama mfano mdogo tu wa kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma mwezi huu, automatically nilijua hazina imekauka.

Swali ninalojiuliza hazina imekaushwa na nini? inawezekana kabisa halibya kibiashara inachangia ndio maana kila siku ni safari za nje kutafuta mikopo.

Lakini nikikumbuka walivyoruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao, hapa ndio napata jawabu rasmi, huko serikalini sasa hivi kila mmoja anadokoa chochote anachoona kinamfaa, hakuna wakumzuia mwenzake wala kumuogopa bosi wake.

Samia amefeli kabisa kuongoza hili taifa.
I concur with you bro.........Samia amefeli vibaya sana
 
Hizi tetesi naona zina ukweli ndani yake, nikitazama mfano mdogo tu wa kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma mwezi huu, automatically nilijua hazina imekauka.

Swali ninalojiuliza hazina imekaushwa na nini? inawezekana kabisa halibya kibiashara inachangia ndio maana kila siku ni safari za nje kutafuta mikopo.

Lakini nikikumbuka walivyoruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao, hapa ndio napata jawabu rasmi, huko serikalini sasa hivi kila mmoja anadokoa chochote anachoona kinamfaa, hakuna wakumzuia mwenzake wala kumuogopa bosi wake.

Samia amefeli kabisa kuongoza hili taifa.
Ina maana takwimu za makusanyo makubwa huwa ni geresha tu kufurahisha uma! Hatari sana hii!
 
Hizi tetesi naona zina ukweli ndani yake, nikitazama mfano mdogo tu wa kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma mwezi huu, automatically nilijua hazina imekauka.

Swali ninalojiuliza hazina imekaushwa na nini? inawezekana kabisa halibya kibiashara inachangia ndio maana kila siku ni safari za nje kutafuta mikopo.

Lakini nikikumbuka walivyoruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao, hapa ndio napata jawabu rasmi, huko serikalini sasa hivi kila mmoja anadokoa chochote anachoona kinamfaa, hakuna wakumzuia mwenzake wala kumuogopa bosi wake.

Samia amefeli kabisa kuongoza hili taifa.
Na watu bado wanamshabikia kumbe ndo mrija wao wa kula maana mwenye mali kalala!
 
Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.

Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.

My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.
Benk ya Dunia inataka rejesho baba, we unacheza kudaiwa na Mzungu
 
Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.

Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.

My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.
Shida hapa ni mikopo and wanataka kufunga mwaka wa fedha na faida baada ya marejesho huko walikokopa, then wasifiwe nakupii
Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.

Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.

My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.
shida ni marejesho ya mikopo waliochukua kl sehemu,tra/bot ndio recovery department za government,ukizingatia ni mwisho wa mwaka so lazima wawe na faida baada ya marejesho sehemu zote and makusanyo yanatakiwa kua makubwa ndio maana kila idara inahaha kukusanya.
Kingine kilichowaumiza ni maduka kufungwa nchi mzima hii imewaharibia sn so lazima watafute alternative ya kupata mapato.
 
Back
Top Bottom