TRA yaendesha Elimu juu ya athari za magendo Kigoma

TRA yaendesha Elimu juu ya athari za magendo Kigoma

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
Leo tarehe 02.05.2024, TRA imetoa elimu juu ya athari za magendo kama vile kuhatarisha afya kwa kuingiza bidhaa zisizo na ubora kwa wakazi wa soko la Gwanumpu lililopo Ujirani Mwema mpakani mwa Tanzania na Burundi.
magendo 1.jpg
magendo 2.jpg
magendo 3.jpg
 
Back
Top Bottom