Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona meneja akijikanyaga
Bora kama wamemuita ila TRA hii safi sana mmebadilika kweli maana mmetumia busara sana big up... issue ya mwekezaji ilikuwa nini hasa? Some details please.
... issue ya mwekezaji ilikuwa nini hasa? Some details please.
tusipende kuongelea vitu vya kufikirika yaani tayari umeshahukumu hapo. Mbona wapo waliolalamika na kusaidiwa ,kwani hawa TRA waweke Clip halafu wakamfanyie visa kisa .Nachojua ni kama atakuwa yupo sahihi atafanikisha na kama atakuwa hayupo sahihi ataelekezwa na kufahamishwa na isitoshe nakumbuka Kasuliu waliwahi lalamika TRA , kuna timu ilienda na bosi wao mkubwa na waliwasaidi wafanyabiashara kasulu waliokuwa na changamotoSubirini figisu atakazofanyiwa