Scaramanga JF-Expert Member Joined Aug 19, 2020 Posts 490 Reaction score 704 Jan 21, 2023 #1 Mamlaka ya Mapato Tanzania naona imebuni njia ya kutoa elimu kwa mtandao na hii wamekuja na kuhusiana na uboreshaji wa mfumo wao wa e file
Mamlaka ya Mapato Tanzania naona imebuni njia ya kutoa elimu kwa mtandao na hii wamekuja na kuhusiana na uboreshaji wa mfumo wao wa e file
sonnita JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 1,787 Reaction score 1,918 Feb 6, 2023 #2 Hii taarifa ilinipita i say . Samahani naweza kukuuliza jambo kuhusiana na hayo mabadiliko?