DOKEZO TRA yalalamikiwa kwa Uzembe na Hujuma Bandarini, Wafanyabiashara wa Mafuta wakimbilia Mombasa

DOKEZO TRA yalalamikiwa kwa Uzembe na Hujuma Bandarini, Wafanyabiashara wa Mafuta wakimbilia Mombasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
nne-1024x726 (1).jpg
Salaam Wakuu,

Wafanyabiasha wa Mafuta wa nje ya Nchi kutoka Congo, Malawi, Rwanda na Burundi wanalalamikia TRA kwa kuchelewesha Document kitu ambacho kinawatia hasara.

Tatizo hilo limeanza hivi karibuni. Ukipakia mzigo unaambiwa "System ipo down". Hali hii inafanya mfanyabiashara kusubiri Document siku 7 hadi 14 Wakati Mombasa Nchini Kenya Document unasubili saa mbili tu.

Mfano Watu wote waliopakia Petrol kwenye Kituo cha Oryx Bandari ya Dar es Salaam Tarehe 3 Juni 2024, hadi leo tarehe 11 Juni 2024 bado wapo Bandari wakisubiri Documents.
tatu-1-1024x683.jpg
Wapo Wengine wamekaa siku 17 hadi leo wote kutoka Nchi tofauti.

Sasa hivi Nchi ya Kenya imeongeza ufanisi. Zamani Document walikuwa wanasubiri Masaa sita kwenye Bandari ya Mombasa, ila sasa hivi ni Masaa mawili tu maximum.

MY TAKE

Bandarini na TRA kutakuwa kina watu wanafanya hujuma ili DP World ionekane si lolote si Chochote?

Nini kifanyike Tanzania tuondokane na tatizo hili?
 
Salaam Wakuu,

Wafanyabiasha wa Mafuta wa nje ya Nchi kutoka Congo, Malawi, Rwanda na Burundi wanalalamikia TRA kwa kuchelewesha Document kitu ambacho kinawatia hasara.

Tatizo hilo limeanza hivi karibuni. Ukipakia mzigo unaambiwa "System ipo down". Hali hii inafanya mfanyabiashara kusubiri Document siku 7 hadi 14 Wakati Mombasa Nchini Kenya Document unasubili saa mbili tu.

Mfano Watu wote waliopakia Petrol kwenye Kituo cha Oryx Bandari ya Dar es Salaam Tarehe 3 Juni 2024, hadi leo tarehe 11 Juni 2024 bado wapo Bandari wakisubiri Documents.

Wapo Wengine wamekaa siku 17 hadi leo wote kutoka Nchi tofauti.

Sasa hivi Nchi ya Kenya imeongeza ufanisi. Zamani Document walikuwa wanasubiri Masaa sita kwenye Bandari ya Mombasa, ila sasa hivi ni Masaa mawili tu maximum.

MY TAKE

Bandarini na TRA kutakuwa kina watu wanafanya hujuma ili DP World ionekane si lolote si Chochote?

Nini kifanyike Tanzania tuondokane na tatizo hili?
Naamini Mama Hatalala kwa hili pia.....usalama mko wqpi nchi inahujumiwa ?
 
Hiyo simpo sana ningekuwa pm ningeanza kwa kumtumbua mkurugenzi wa bandari ili waliochini yake wajue mi sijaribiwi
 
View attachment 3014448
Salaam Wakuu,

Wafanyabiasha wa Mafuta wa nje ya Nchi kutoka Congo, Malawi, Rwanda na Burundi wanalalamikia TRA kwa kuchelewesha Document kitu ambacho kinawatia hasara.

Tatizo hilo limeanza hivi karibuni. Ukipakia mzigo unaambiwa "System ipo down". Hali hii inafanya mfanyabiashara kusubiri Document siku 7 hadi 14 Wakati Mombasa Nchini Kenya Document unasubili saa mbili tu.

Mfano Watu wote waliopakia Petrol kwenye Kituo cha Oryx Bandari ya Dar es Salaam Tarehe 3 Juni 2024, hadi leo tarehe 11 Juni 2024 bado wapo Bandari wakisubiri Documents.
TanzaniaView attachment 3014447
Wapo Wengine wamekaa siku 17 hadi leo wote kutoka Nchi tofauti.

Sasa hivi Nchi ya Kenya imeongeza ufanisi. Zamani Document walikuwa wanasubiri Masaa sita kwenye Bandari ya Mombasa, ila sasa hivi ni Masaa mawili tu maximum.

MY TAKE

Bandarini na TRA kutakuwa kina watu wanafanya hujuma ili DP World ionekane si lolote si Chochote?

Nini kifanyike Tanzania tuondokane na tatizo hili?
De El
Hii nchi ni kama ina laana...
Wala sio laana kidogo! Ina viongozi wapumbavu sana. Ccm wanaendesha nchi Kwa mazoea sana. Kwanini mwenge usiwamulike Sasa hao? Huwezi kufundisha mbwa Mzee ujanja mpya wa kumkamata mwizi! Ndio ccm hao!
Hii nchi ni kama ina laana...
 
De El

Wala sio laana kidogo! Ina viongozi wapumbavu sana. Ccm wanaendesha nchi Kwa mazoea sana. Kwanini mwenge usiwamulike Sasa hao? Huwezi kufundisha mbwa Mzee ujanja mpya wa kumkamata mwizi! Ndio ccm hao!
Kuwa na viongozi wapumbavu ndio laana yenyewe hiyo
 
Salaam Wakuu,

Wafanyabiasha wa Mafuta wa nje ya Nchi kutoka Congo, Malawi, Rwanda na Burundi wanalalamikia TRA kwa kuchelewesha Document kitu ambacho kinawatia hasara.

Tatizo hilo limeanza hivi karibuni. Ukipakia mzigo unaambiwa "System ipo down". Hali hii inafanya mfanyabiashara kusubiri Document siku 7 hadi 14 Wakati Mombasa Nchini Kenya Document unasubili saa mbili tu.

Mfano Watu wote waliopakia Petrol kwenye Kituo cha Oryx Bandari ya Dar es Salaam Tarehe 3 Juni 2024, hadi leo tarehe 11 Juni 2024 bado wapo Bandari wakisubiri Documents.
Wapo Wengine wamekaa siku 17 hadi leo wote kutoka Nchi tofauti.

Sasa hivi Nchi ya Kenya imeongeza ufanisi. Zamani Document walikuwa wanasubiri Masaa sita kwenye Bandari ya Mombasa, ila sasa hivi ni Masaa mawili tu maximum.

MY TAKE

Bandarini na TRA kutakuwa kina watu wanafanya hujuma ili DP World ionekane si lolote si Chochote?

Nini kifanyike Tanzania tuondokane na tatizo hili?
Nachokiona hapa ni maandalizi tu ya kutaka kupandisha mafuta bei. hapa itakuwa kuna mfanyabiashara mmoja wa mafuta anataka kuongeza mafuta bei sasa anatafuta namna ya justification. kwanini mizigo mingine inatoka iwe mafuta tu ? hii taarifa ni kuwekwa sawa ili kesho yakipanda tuanze laumu serikali sijui ni tpa au tra.
 
TPA wametoa kwa Serikakali gawio la kiasi cha bilioni 153.Maana yake hicho kiasi ni sehemu tu ya faida.Wewe unasema hawafanyi vizuri wakati wanapata faida kubwa hivyo.
 
Hatimaye leo, Malori yenye tenki za mafuta 18, zilizokwama tangu tarehe 4Jun 2024, yamepata Vibari(Documents)kutooka TRA za kusafirisha petrol nje ya nchi.

Serikali ifanyie kazi udhaifu. Watu sasa wanapokea Mizigo kutoka Mombasa kisa Uzembe wa watu wachache
 
Hatimaye leo, Malori yenye tenki za mafuta 18, zilizokwama tangu tarehe 4Jun 2024, yamepata Vibari(Documents)kutooka TRA za kusafirisha petrol nje ya nchi.

Serikali ifanyie kazi udhaifu. Watu sasa wanapokea Mizigo kutoka Mombasa kisa Uzembe wa watu wachache
huo mchezo wa wafanyabiashara hapo walikuwa wanategea waone kama mafuta yakipanda wangetaleta ujanja wao wa kuyabakiza Bongo wauze ilikuwa janja ya kujichelewesha sasa walinusa na kuona bajeti itakuja hamna ongezeko wamelipa garama za vibali hao hahahaaa da nchi hii wapigaji kila kona
 
Hapo ilikuwa ni busara tu kutumika, hao maofisa wa TRA baada ya kuona system ipo chini siku nzima. Walikuwa na nafasi ya kuzitoa gari manual kisha mfumo ukirudi waziingize kwenye system
 
Meli zinazidi kuongezeka na bandari wanapambana kushusha na kuhudumia kwa kasi.

Bandari hawezi kukwamisha gari zisitoke hizo za mafuta, mafuta yakishuka yanatunzwa kwenye depot za wateja na serikali.

Mfumo wa uondoaji mizigo unakumbwa na tatizo la kuwa chini au kutopatikana, dawa ya hii ni kuwa na back up ya mtandao
 
Salaam Wakuu,

Wafanyabiasha wa Mafuta wa nje ya Nchi kutoka Congo, Malawi, Rwanda na Burundi wanalalamikia TRA kwa kuchelewesha Document kitu ambacho kinawatia hasara.

Tatizo hilo limeanza hivi karibuni. Ukipakia mzigo unaambiwa "System ipo down". Hali hii inafanya mfanyabiashara kusubiri Document siku 7 hadi 14 Wakati Mombasa Nchini Kenya Document unasubili saa mbili tu.

Mfano Watu wote waliopakia Petrol kwenye Kituo cha Oryx Bandari ya Dar es Salaam Tarehe 3 Juni 2024, hadi leo tarehe 11 Juni 2024 bado wapo Bandari wakisubiri Documents.
Wapo Wengine wamekaa siku 17 hadi leo wote kutoka Nchi tofauti.

Sasa hivi Nchi ya Kenya imeongeza ufanisi. Zamani Document walikuwa wanasubiri Masaa sita kwenye Bandari ya Mombasa, ila sasa hivi ni Masaa mawili tu maximum.

MY TAKE

Bandarini na TRA kutakuwa kina watu wanafanya hujuma ili DP World ionekane si lolote si Chochote?

Nini kifanyike Tanzania tuondokane na tatizo hili?
Duh sasa itakuwaje kama ndio hivyo!?
 
Back
Top Bottom