TRA Yaweka rekodi Mpya Kwa Kukusanya Trilioni 16.5 kwa miezi 6. Yavuka Malengo kwa asilimia 103%.

TRA Yaweka rekodi Mpya Kwa Kukusanya Trilioni 16.5 kwa miezi 6. Yavuka Malengo kwa asilimia 103%.

Mzee mwisho wa mwaka Huwa wanaonesha vyanzo vya Mapato baada ya reconciliation,hata Sasa ukita watakupa.

Swala la verification hizo hela zinaingia Hazina
Tanroads wameshindwa kulipa wakandarasi unasema fedha zinaingia hazina!🥺

Wakandarasi sasa wameanza kuuziwa nyumba na mitambo yao na mabank ,unasema fedha zimeingia hazina?
 
High way ya kutokea Mbeya Mjini ,kwenye milima ya Kiwetere, imebomolewa yote,mkandarasi amekimbia site!
Sasa mnasubiri ajali zimalize watu ndio muamke ,unasema fedha ziko hazina😭
 
Tanroads wameshindwa kulipa wakandarasi unasema fedha zinaingia hazina!🥺

Wakandarasi sasa wameanza kuuziwa nyumba na mitambo yao na mabank ,unasema fedha zimeingia hazina?
Huwezi sema Wameshindwa Bali Serikali ime shift vipaombele.

Madeni yakiiva huwezi lipa Mkandarasi ukaacha kulipa deni la Nje 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEMWKKgq3BC/?igsh=MXUwYnA4aHFpNjU5ZA==

Mwisho kama Serikali ingeshindwa kuwalipa wakandarasi kama unavyosema miradi ingesimama na wakandarasi wasingeingia site na in fact wasingefanya kazi lakini wako site na mingine inazidi kuzinduliwa

View: https://www.instagram.com/p/DERXpSZoe2v/?igsh=ZXJscXF4aGhqaWRv
 
High way ya kutokea Mbeya Mjini ,kwenye milima ya Kiwetere, imebomolewa yote,mkandarasi amekimbia site!
Sasa mnasubiri ajali zimalize watu ndio muamke ,unasema fedha ziko hazina😭
Kawetere ya wapi? Ndio pesa hizo zimekusanywa Sasa watalipwa
 
Huwezi sema Wameshindwa Bali Serikali ime shift vipaombele.

Madeni yakiiva huwezi lipa Mkandarasi ukaacha kulipa deni la Nje 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEMWKKgq3BC/?igsh=MXUwYnA4aHFpNjU5ZA==

Mwisho kama Serikali ingeshindwa kuwalipa wakandarasi kama unavyosema miradi ingesimama na wakandarasi wasingeingia site na in fact wasingefanya kazi lakini wako site na mingine inazidi kuzinduliwa

View: https://www.instagram.com/p/DERXpSZoe2v/?igsh=ZXJscXF4aGhqaWRv

Barbara ya Himo- Moshi Mjini kwenda Tengeru Arusha ni mashimo mwanzo mwisho, anatueleza habari za ndungu kijijini🙃
 
Fuatilia Barbara ya Matundasi kwenda Itumbi,kms 13 tu. Tarura kule imeoza, Kila siku mnamsifia Eng. Seif kumbe hakuna kitu.
Pesa hakuna,mkandarasi amekimbia site.
Wizi mtupu
 
Hapo eneonla mlimani karibia kms 6 ,wameondoa lami yote,sasa ni miezi 6, hakuna kinachoendelea.

Tanganyika hakuna eneo la Barbara hatari kama eneo Hilo, na bado serikali inacheza na roho za watu
Manake wanafanya overlay ilijengwa chini ya kiwango kama Ile ya Iringa-Dom chini ya Waziri wa Ujenzi Magufuli 😄😄
 
Hawa viongozi wa TRA wanachekesha sana.Yaani malengo wanajiwekea madogo halafu wanajidai wamevuka malengo?Kenya imekusanya mara tatu ya hicho wanachojidai kuwa wamevuka malengo.
 
Hawa viongozi wa TRA wanachekesha sana.Yaani malengo wanajiwekea madogo halafu wanajidai wamevuka malengo?Kenya imekusanya mara tatu ya hicho wanachojidai kuwa wamevuka malengo.
Hawajawahi jiwekea malengo madogo na ndio maana hakuna mwaka wamewahi vunja rekodi isipokuwa mwaka huu.
 
Kawetere ya wapi? Ndio pesa hizo zimekusanywa Sasa watalipwa
Kiwetere hii hapa!
Angalia eneo lenyewe, na lami imeondolewa.
Wajinga wachache wanadifia mitano Tena.
Saa100 watendaji wake ni waongo,hawamwambii ukweli.
 

Attachments

  • images (15).jpeg
    images (15).jpeg
    38.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom