ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Mbunge wako ndio anaona matokeo yake Jimbo Zima.Barabara Moja haiwezi kuondoa ufanisi wa zote zilizofanyika.Fuatilia Barbara ya Matundasi kwenda Itumbi,kms 13 tu. Tarura kule imeoza, Kila siku mnamsifia Eng. Seif kumbe hakuna kitu.
Pesa hakuna,mkandarasi amekimbia site.
Wizi mtupu
Kuna bara bara ipi serikali ya Samia imejenga na ikakamilika? ZitajeHii ndio Serikali imejenga na inajenga Barabara nyingi kuliko yeyote kabla.
Nimekupa plan iliyokuwepo unaongea ujinga
Mbunge wa chunya na Lupa ni wale wa magufuli,walio pita bila kupingwa.Mbunge wako ndio anaona matokeo yake Jimbo Zima.Barabara Moja haiwezi kuondoa ufanisi wa zote zilizofanyika.
Magufuli Aliwakuta kablaMbunge wa chunya na Lupa ni wale wa magufuli,walio pita bila kupingwa.
-Kimara-Ubungo alikamilisha antie yako?Kuna bara bara ipi serikali ya Samia imejenga na ikakamilika? Zitaje
Wewe labda ni mpumbavu, nikuulize Huwa unaishi kama kuku au? Huwa hujiwekei target zozote? Au Kuna taasisi Huwa inajiendea bila target?Hizi sanaa za ki.senge! Sijui zitaisha lini...
yaani ujiwekee target wewe mwenyewe, halafu ushindwe kuivuka....?!
Jamaa wanatuona kama mataahira fulani.
Hasa Kwa upande wa Zanzibar,Kuna manipulation walifanyaHata sensa ya watu na makazi 2022 inahitajika kufanyiwa verification haraka sana!
Kwamba watu mil.1.8 wa Zanzibar ni manipulation au? Hizi akili Huwa mnazitoa wapi?Hasa Kwa upande wa Zanzibar,Kuna manipulation walifanya
Ngoja aje president mwingine uone hizi 👆 report zitakavyo kanwaKwamba watu mil.1.8 wa Zanzibar ni manipulation au? Hizi akili Huwa mnazitoa wapi?
Labda awe mpumbavu kama yule mwingine ambae alikuwa anatafuta credibility Kwa kuwaponda waliomtangulia.Ngoja aje president mwingine uone hizi 👆 report zitakavyo kanwa
Mbunge wa chunya na Lupa ni wale wa magufuli,walio pita bila kupingwa.
Kwa hili kama Mkristo ninayemwamini Yesu nampa maua yake bila unafki.Mama Ameipandisha makusanyo kutoka wastani wa 1.5T/Mwezi mwaka 2021/2022 Hadi 2.7T/Mwezi mwaka 2024/2025 bila kuonea mtu.
Mwaka ujao wa Fedha (2025/26) itakuwa ni wastani wa Shilingi 3T yaani mara 2 ya miaka yote ya Magu.
Samia apewe maua yake
Mkiambiwa mahitaji ni makubwa kuliko keki muwe mnaelewa.Hivi hizi pesa hua zinaenda wapi, mbona huku mtaani hamna kinacho endana na mapato ya serikali!!? Ukiangalia MASAKI barabara nzuri ni ile ya coco beach kwingine kote ni mashimo, KARIAKOO kitovu cha biashara AFRICA MASHARIKI NA KATI kooote ni mashimo na maandaki, wakati hapo kkoo ndio panazalisha hizi namba wanazo zinadi kuzikusanya, barabara yenye afadhali ni morogoro road tena kipande kidogo sana, sehemu kubwa ya " mareekani ya TANZANIA " yaani DAR ES SALAAM ambayo vijana hua wanakimbia mikoani kudandia kwenye mafuso na kusafiri kwenye maboot ya magari ni mashimo matupu. Binafsi hua najisikia vibaya sana ninapo sikia report kama hizi zinazo kinzana na picha ilivyo kiuhalisia, kuna mengi sana ila kwa hili hua naumia sana
Ina maana gani sasa kama kodi zenyewe asilimia kubwa zinatokana na kuwakamua wananchi masikini! huku matajiri, mafisadi na vigogo wakubwa serikali wakilipa kodi isiyoendana na vipato vyao!! Hali mtaani ni tete, halafu unasifia upuuzi!!Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imeandikisha rekodi Mpya ya Mapato ya nusu mwaka Kwa kukusanya zaidi ya Trilioni 16.5 kwa.kioindi Cha miezi 6 au nusu mwaka ya mwaka wa Fedha 2024/2025.
Kiwango hicho ni Cha Juu zaidi kuwahi kufikiwa na TRA huku ikiwa ni ufanisi wa asilimia 103% yaani imevuka malengo.
Aidha mwezi Disemba pekee imekusanya takribani Shilingi Trilioni 3.5 ikiwa ni Juu ya lengo la Trilioni 3.
View: https://www.instagram.com/p/DESCEmIoQWy/?igsh=MTR3Z3ptYmowNmd3bQ==View attachment 3189985
My Take
Hongera sana Kwa TRA na walipakodi wote nimiwemo mimi.
Hongera sana Rais Samia, hongera Kwa Waziri Mwigulu Kwa kukusanya Kodi bila dhuluma na kuvuka malengo , haijawahi tokea tangu TRA kuanzishwa.
Tunatoka wito wa matumizi sahihi ya Kodi zetu na pia juhudi zaidi za kukusanya Mapato,Bado ukwepaji Kodi ni mkubwa na watu hawatoi Wala kudai risiti inavyostahili.
View attachment 3189986
Kwakweli tra wamekaza sana hata mimi safari hii nimechagia serikali zaidi ya 1 m.Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imeandikisha rekodi Mpya ya Mapato ya nusu mwaka Kwa kukusanya zaidi ya Trilioni 16.5 kwa.kioindi Cha miezi 6 au nusu mwaka ya mwaka wa Fedha 2024/2025.
Kiwango hicho ni Cha Juu zaidi kuwahi kufikiwa na TRA huku ikiwa ni ufanisi wa asilimia 103% yaani imevuka malengo.
Aidha mwezi Disemba pekee imekusanya takribani Shilingi Trilioni 3.5 ikiwa ni Juu ya lengo la Trilioni 3.
View: https://www.instagram.com/p/DESCEmIoQWy/?igsh=MTR3Z3ptYmowNmd3bQ==View attachment 3189985
My Take
Hongera sana Kwa TRA na walipakodi wote nimiwemo mimi.
Hongera sana Rais Samia, hongera Kwa Waziri Mwigulu Kwa kukusanya Kodi bila dhuluma na kuvuka malengo , haijawahi tokea tangu TRA kuanzishwa.
Tunatoka wito wa matumizi sahihi ya Kodi zetu na pia juhudi zaidi za kukusanya Mapato,Bado ukwepaji Kodi ni mkubwa na watu hawatoi Wala kudai risiti inavyostahili.
View: https://www.instagram.com/reel/DESXvVVo1Z7/?igsh=MTB0OG5raXl2YjBqcw==
Hao mafisadi,matajiri nk ni kina nani hawalipi Kodi? Maskini ana hela gani ya kulipa Kodi?Ina maana gani sasa kama kodi zenyewe asilimia kubwa zinatokana na kuwakamua wananchi masikini! huku matajiri, mafisadi na vigogo wakubwa serikali wakilipa kodi isiyoendana na vipato vyao!! Hali mtaani ni tete, halafu unasifia upuuzi!!
Muone huyu CHAWA!! Haya matozo yenu mliyotuwekea kwenye miamala ya simu, mafuta, na faini za barabarani za kubambika; huwa mnawatoza vigogo wenu mliowapa misamaha ya kodi kwenye mishahara yao?Hao mafisadi,matajiri nk ni kina nani hawalipi Kodi? Maskini ana hela gani ya kulipa Kodi?