TRA Yaweka rekodi Mpya Kwa Kukusanya Trilioni 16.5 kwa miezi 6. Yavuka Malengo kwa asilimia 103%.

Fuatilia Barbara ya Matundasi kwenda Itumbi,kms 13 tu. Tarura kule imeoza, Kila siku mnamsifia Eng. Seif kumbe hakuna kitu.
Pesa hakuna,mkandarasi amekimbia site.
Wizi mtupu
Mbunge wako ndio anaona matokeo yake Jimbo Zima.Barabara Moja haiwezi kuondoa ufanisi wa zote zilizofanyika.
 
Kuna bara bara ipi serikali ya Samia imejenga na ikakamilika? Zitaje
-Kimara-Ubungo alikamilisha antie yako?
-Mikumi-Ifakara ulikamilisha wewe?
-Sumbawanga-Kasanga port ni mkeo amekamilisha?
-Dakawa-Handeni ni shangazi.yako amejenga?
-Njombe-Makete ni bibi Yako amekamilisha?

In fact hizo ni Baadhi tuu ya zile kuu chache nimekutajia hapo sijataja maelfu ya TARURA.

Mwisho wewe uko Mkoa gani nikutajie Barabara
 
Hizi sanaa za ki.senge! Sijui zitaisha lini...

yaani ujiwekee target wewe mwenyewe, halafu ushindwe kuivuka....?!

Jamaa wanatuona kama mataahira fulani.
Wewe labda ni mpumbavu, nikuulize Huwa unaishi kama kuku au? Huwa hujiwekei target zozote? Au Kuna taasisi Huwa inajiendea bila target?

Ukienda shule wewe?
 
Ngoja aje president mwingine uone hizi 👆 report zitakavyo kanwa
Labda awe mpumbavu kama yule mwingine ambae alikuwa anatafuta credibility Kwa kuwaponda waliomtangulia.

Mwisho hawezi zikana maana ni taarifa rasmi na ziko kwenye vitabu vya Serikali
 
Hivi hizi pesa hua zinaenda wapi, mbona huku mtaani hamna kinacho endana na mapato ya serikali!!? Ukiangalia MASAKI barabara nzuri ni ile ya coco beach kwingine kote ni mashimo, KARIAKOO kitovu cha biashara AFRICA MASHARIKI NA KATI kooote ni mashimo na maandaki, wakati hapo kkoo ndio panazalisha hizi namba wanazo zinadi kuzikusanya, barabara yenye afadhali ni morogoro road tena kipande kidogo sana, sehemu kubwa ya " mareekani ya TANZANIA " yaani DAR ES SALAAM ambayo vijana hua wanakimbia mikoani kudandia kwenye mafuso na kusafiri kwenye maboot ya magari ni mashimo matupu. Binafsi hua najisikia vibaya sana ninapo sikia report kama hizi zinazo kinzana na picha ilivyo kiuhalisia, kuna mengi sana ila kwa hili hua naumia sana
 
Mama Ameipandisha makusanyo kutoka wastani wa 1.5T/Mwezi mwaka 2021/2022 Hadi 2.7T/Mwezi mwaka 2024/2025 bila kuonea mtu.

Mwaka ujao wa Fedha (2025/26) itakuwa ni wastani wa Shilingi 3T yaani mara 2 ya miaka yote ya Magu.

Samia apewe maua yake
Kwa hili kama Mkristo ninayemwamini Yesu nampa maua yake bila unafki.
 
Mkiambiwa mahitaji ni makubwa kuliko keki muwe mnaelewa.

Pili lazima ujue Tanzania sio masaki tuu ni kubwa Kila sehemu pesa inahitajika.

Mwisho muwe mnalipa Kodi stahiki,Kwa ukubwa wa Uchumi wa Tanzania tunakusanya hela kidogo sana Kwa sababu Wananchi wengi wanakwepa Kodi ila wanadai Huduma,hazitakaa zije maana hazitokei Mbinguni bali tuklipa Kodi ndio zinapatikana,no shortcut.

Mwisho Kwa nini ujiskie vibaya wakati ndio kilichopatikana? Wewe unadhani hizo hela zinatosha kuweka Kila Huduma inayohitajika? Unajua Bajeti ya Elimu Bure? Bajeti ya mikopo?
 
Ina maana gani sasa kama kodi zenyewe asilimia kubwa zinatokana na kuwakamua wananchi masikini! huku matajiri, mafisadi na vigogo wakubwa serikali wakilipa kodi isiyoendana na vipato vyao!! Hali mtaani ni tete, halafu unasifia upuuzi!!
 
Kwakweli tra wamekaza sana hata mimi safari hii nimechagia serikali zaidi ya 1 m.
 
Ina maana gani sasa kama kodi zenyewe asilimia kubwa zinatokana na kuwakamua wananchi masikini! huku matajiri, mafisadi na vigogo wakubwa serikali wakilipa kodi isiyoendana na vipato vyao!! Hali mtaani ni tete, halafu unasifia upuuzi!!
Hao mafisadi,matajiri nk ni kina nani hawalipi Kodi? Maskini ana hela gani ya kulipa Kodi?
 
Hao mafisadi,matajiri nk ni kina nani hawalipi Kodi? Maskini ana hela gani ya kulipa Kodi?
Muone huyu CHAWA!! Haya matozo yenu mliyotuwekea kwenye miamala ya simu, mafuta, na faini za barabarani za kubambika; huwa mnawatoza vigogo wenu mliowapa misamaha ya kodi kwenye mishahara yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…