MalafyaleP
Senior Member
- May 23, 2013
- 187
- 387
Wana JF,
naomba utaalam na uzoefu.
Kuna bwana mmoja anataka kuniuzia New Holland Tactor lenye 75hp na ni 4wheel. Alipewa zawadi na shirika alikokuwa anafanya kazi June 2012 na hajawahi kulitumia kabisa.Linakuja na disc plough na harrow.
Hili tractor lilinunuliwa SUMA JKT.
Tafadhali naombeni uzoefu wenu na aina hii ya tractors maana kuna uvumi tractor za SUMA zimechakachuliwa
naomba utaalam na uzoefu.
Kuna bwana mmoja anataka kuniuzia New Holland Tactor lenye 75hp na ni 4wheel. Alipewa zawadi na shirika alikokuwa anafanya kazi June 2012 na hajawahi kulitumia kabisa.Linakuja na disc plough na harrow.
Hili tractor lilinunuliwa SUMA JKT.
Tafadhali naombeni uzoefu wenu na aina hii ya tractors maana kuna uvumi tractor za SUMA zimechakachuliwa