Sasa shemeji yake ndio mwanawe? halafu ni shemeji yake kwa nani? Na Kikwete ni mtoto wa mkubwa yupi?
Hoja iliopo hapa ni ya kuhusu traffic.mwema na jk siyo traffic uliwaingiza kimakosa kwenye maelezo yako ya awali.kuhusu swala la watoto wa wa kubwa wanaweza wakawa wakuwazaa wakubwa wenyewe,wajomba,shemeji na wale ambao wako jirani na wakubwa hao kwa namna moja au nyingine wote wanajumlishwa kwenye kundi la watoto wa wakubwa.
Nimemuingiz Mwema kwa kuwa ndio mkubwa wa matrafik wote, Kikwete aliyemwingiza tazama juu huko, mimi niliuliza tu.
Ikiwa Mwema ambae ni Mkubwa wa Trafiki na Polisi wengine wote unashindwa kutuonesha mkubwa aliyemweka ina maana ni jitihada zake binafsi na hata hao wengine bila kutuonesha huyu ni mtoto wa fulani ndio maana kawekwa hapo, inakuwa ni unafiki tu.
Nimemuingiz Mwema kwa kuwa ndio mkubwa wa matrafik wote, Kikwete aliyemwingiza tazama juu huko, mimi niliuliza tu.
Ikiwa Mwema ambae ni Mkubwa wa Trafiki na Polisi wengine wote unashindwa kutuonesha mkubwa aliyemweka ina maana ni jitihada zake binafsi na hata hao wengine bila kutuonesha huyu ni mtoto wa fulani ndio maana kawekwa hapo, inakuwa ni unafiki tu.
Chunguza vizuri ulipouliza saidi nimekujibu kuwa ni shemeji yake na jk.ili upate jibu kuwa huyu ni mtoto wa nani na yule ni mtoto wa nani ninaomba unipe orodha ya traffic wote unao wafahamu utajibiwa.halafu kwa nini hiki kitu kimekugusa sana.km ni mmojawapo ulie teuliwa na wazazi wako au ulipata kwa rushwa usihofu kitu endelea kukwapua tu umepewa hicho kitengo kwa ajili hilo. ukizingatia kuwa kamela zote za jelly mulo na yeye mwenyewe kwisha kabisa hakuna wakukutisha chuma kijana wakati ndio huu chukuwa chako mapema.ila usinidanganye asilimia kubwa ya traffic wameupata kwa njia nilio isema na si kwa juhudi zao.kwa heri.
Tupe na hali halisi ya barabara.
Mwema sijui anapitia humu? nimejaribu kumtumia post yako #1 kupitia: Feedback lakini inakataa.
Na wewe unaweza mtumia. Naomba hali ya barabara, nna safari ya kwenda Shinyanga, kupitia Arusha na Singida.
sijui kwanini traffic akikusimamisha lazima akuulize unafanya kazi gani?
Wacha kudanganya umma. Taja hapa fulani ni traffic wa sehemu fullani na kapata kazi kwa ajili ya fulani: Ngoja nikuoneshe watu wanavyopata kazi sehemu nyeti ili uelewe:
Kama hujaelewa pitia hapa uone ilivyo: Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?): UKOO WA CHADEMA BUNGENI WAANIKWA: GAZETI LA UHURU
Kungekuwa na tofauti gani kama Mboni Mhita angepata Ubunge wa kuteuliwa wakati mama yake Zubein Mhita ni mbunge?
unategemea kupata nini kutoka kwa traffiki wakati wlio wegi ni watoto wa wakubwa na wengine wamehengo ndio wakapata nafasi hizo.na wote wako kwa ajili yautafutaji tu.kikosi hiki bila kuwa mtoto wa mkubwa au bila kutoa ruswa hupati nafasi.upewe na fasi hivihivi wewe umekuwa nani?.wakati ni kwa ajili ya kuwatajilisha watoto wa wakubwa.
mwema ni shemeji wa jk.nilicho kiandika kuhusu traffiki ni hakika na amina.vinginevyo unapinga labda na wewe ni mmoja wao.halafu saidi siyo traffic pole wewe ambae unapinga kitu wakati kipo.
Bora hata torch kuliko kuombwa buku kila kilometer 10 na hata hawakagui gari. Hawana aibu tena jamani.
Hhah Bado ukitoka hapo DAREDA, kuna kingine MITAA YA KWA SUMAYE, then kabla ya kuingia KATESH, then tena kabla ya kutoka KATESH, then kabla ya kuingia SINGIDA bondeni pale, then Njia panda ya kwenda Stand pale, then kabla ya kutoka SINGIDA pale mitaa ya SI.MBA CHAWENE ( AQUA). Ila hamioni hao hawana usumbufu kwani kw amagari madogo hawasimamishi na mabasi ni mwendo wa kuacha BUKUBUKU tu kote huko, USIOMBE SIKU UPITE NJIA YA TANGA CHALINZE MORO utakoma ni mwendo wa TORCH kila baada ya 5KM.
Wacha kudanganya umma. Taja hapa fulani ni traffic wa sehemu fullani na kapata kazi kwa ajili ya fulani: Ngoja nikuoneshe watu wanavyopata kazi sehemu nyeti ili uelewe:
Kama hujaelewa pitia hapa uone ilivyo: Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?): UKOO WA CHADEMA BUNGENI WAANIKWA: GAZETI LA UHURU