- Thread starter
- #21
Asante Bro. Kabombe lakini katika siku tajwa mimi na mke wangu tulikuwa wote nyumbani na gari haikutoka siku nzimaInawezekana ulikutwa na kosa siku tatu au saba nyuma,askari hakuwa na mashine,inampasa afike kituoni kuwasilisha data muhimu kwa waliopigwa fine.
Utaratibu ni kwamba askari anaepokea hizo data alitakiwa akupigie simu kwanza kukufahamisha kuwa anakulima fine kwa kosa ulilofanya tarehe fulani mahali fulani
Lakini pia unaweza kuangalia kwenye mtandao aina ya kosa,lilitendeka wapi na tarehe ngapi utajua tu kama gari alikuwa nalo dereva au mkeo kwa siku hiyo