Asante Bro. Kabombe lakini katika siku tajwa mimi na mke wangu tulikuwa wote nyumbani na gari haikutoka siku nzimaInawezekana ulikutwa na kosa siku tatu au saba nyuma,askari hakuwa na mashine,inampasa afike kituoni kuwasilisha data muhimu kwa waliopigwa fine.
Utaratibu ni kwamba askari anaepokea hizo data alitakiwa akupigie simu kwanza kukufahamisha kuwa anakulima fine kwa kosa ulilofanya tarehe fulani mahali fulani
Lakini pia unaweza kuangalia kwenye mtandao aina ya kosa,lilitendeka wapi na tarehe ngapi utajua tu kama gari alikuwa nalo dereva au mkeo kwa siku hiyo
Hili nadhani litasaidia sana.Mfumo wa utoaji faini ya malipo unahitaji kuwe na namba ya leseni ya dereva aiyefanya kosa barabarani
Inasemekana hivyo lakini huku chini bado kuna sintofahamuKipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Unaongea kama mbuzi aliyetoka kupandwa muda si mrefu.Hapa ni rahisi.
Kwakuwa huwa wanaandika namba ya gari na leseni, waambie wakupe jina la mwenye leseni nae aitwe.
Unaweza ukawa nyumbani kumbe dogo (mwanao) kachukua kaenda nalo sehemu wewe uko ubize mnaangalia VPLKumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Nadhani hujaelewa somo.Wakishachukua namba ya gari ni rahisi kumtafuta mwenye gari.Hao ni jamaa zako, inakuwaje wabahatishe namba yako ya simu ikaendane na namba za gari lako?
Ilimkuta mzee wangu Arusha,leseni yake ina makosa 3 pamoja na aliyoshikiwa,mawili alipigiwa singida gari ikiwa ni Scania hajawahi endesha Scania maisha yake yote.Nadhani kuna michezo trafiki wanafanya au wakati wanaingiza namba ya leseni wanachanganya
Walipishane wenyewe lakini basi kwenye system isionekane tena kama ninadiwa.Mbona simple tu, usilipe sometimea huwa wanakosea kwenye kuandika pale kwenye mashine mwisho wa siku huwa wanalipishana wenyewe...
Nadhani hujaelewa somo.Wakishachukua namba ya gari ni rahisi kumtafuta mwenye gari.
Walipishane wenyewe lakini basi kwenye system isionekane tena kama ninadiwa.
Tena kila risiti ya fine ina jina na namba ya aliyeiandika.Kipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hawa polisi JPM Keshabariki maovu yao. Hata useme vipi hawachukuliwi hatua yoyote. My take jihadhari na polisi vitengo vyote kadiri unavyoweza, epuka sana kutumia private means of transport. Zile POS walizopewa ni majanga unabambikwa kosa ukilalamika unaambiwa wamepewa malengo ya makusanyo. Ukiuliza mbona hiyo kazi ya kukisanya mapato siyo ya polisi ni ya Tra unaambiwa twende kituoni ukaseme hayo matusi mbele ya OCD. ukifika huko unawekwa ndani. Chezea polisi ya magu wewe!Kipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kwani Senzighe anaongelea kipindi gani?Kipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app