Traffic wanabambikia watu faini, unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na gari halijaenda popote

Asante Bro. Kabombe lakini katika siku tajwa mimi na mke wangu tulikuwa wote nyumbani na gari haikutoka siku nzima
 
Hapa ni rahisi.

Kwakuwa huwa wanaandika namba ya gari na leseni, waambie wakupe jina la mwenye leseni nae aitwe.
Unaongea kama mbuzi aliyetoka kupandwa muda si mrefu.

Unadhani hapa ni Ulaya.

Tena akichelewa kulipa baada ya wiki hiyo pesa ina Riba kubwa 🤣🤣🤣🤣
 
Unaweza ukawa nyumbani kumbe dogo (mwanao) kachukua kaenda nalo sehemu wewe uko ubize mnaangalia VPL
 
Karibu Tanzania ya VIWONDER.
 
Hao jamaa wa usalama barabarani(japo siku hizi ni faini barabarani) wamenifanya nidharau kazi yao, majitu hayajielewi, yanatumia nguvu nyingi akili kidogo.
 


Hao ni jamaa zako, inakuwaje wabahatishe namba yako ya simu ikaendane na namba za gari lako?
 
Ilimkuta mzee wangu Arusha,leseni yake ina makosa 3 pamoja na aliyoshikiwa,mawili alipigiwa singida gari ikiwa ni Scania hajawahi endesha Scania maisha yake yote.Nadhani kuna michezo trafiki wanafanya au wakati wanaingiza namba ya leseni wanachanganya
 
Mbona simple tu, usilipe sometimea huwa wanakosea kwenye kuandika pale kwenye mashine mwisho wa siku huwa wanalipishana wenyewe...
 
yaani nilicheka juzi trafik kanismamisha katika kulumbana na kuelekezana maana tulikuwa kama wa3 na kosa ni kutotii zebra cross!!yule askari mwanamama ukidondosha ela kwenye kibanda chao pale chini hapohapo anajaza kiasi ktk simu yake.sbb nilikuw karibu pale niliona sim yke ilivyojaa mahesabu ya siku hiyo.siku ingine tena walinipiga toch nikaenda kwenye gar yao wakataka elf10 nikapiga saund hd efu5 akafungua ile glog box pale aweke ile elf5 ela zikamwagika chini mwenzake akawa anamfokea si unaona sasa ameona..
 
the bottom line hawa polisi trafik hawapo kivileee kusimamia hizo sheria maana hata wao sheria wengi wao hawazijui.mfano mmoja aliulizwa maana ya mistari 2 kati kati ya barabara hajui inachomaanisha yaani hadi aibu!ukute ndo mnabishania sasa kuhusu sheria anajifanya anajua huku hajui kikubwa atachokufanyia ni kutumia mamlaka yke kukunyanyasa!ndo mana wanalogwa sana.ila trafik wengine smart sana yaani umefanya kosa afu ukakubali anakuonya tuu safari inaendelea.yaani sasa hivi trafik wamekuwa wengi mabarabarani hadi ukiwa na mgeni huku tanzania anashangaa.huendi mita10 bila kuwaona trafik.trafik wengine mjirekebishe tutaanza kutembea na vikamera vidogo tuwarekod wakubwa wenu waone ufedhuli mnaofanya.
 
Hao ni jamaa zako, inakuwaje wabahatishe namba yako ya simu ikaendane na namba za gari lako?
Nadhani hujaelewa somo.Wakishachukua namba ya gari ni rahisi kumtafuta mwenye gari.
Mbona simple tu, usilipe sometimea huwa wanakosea kwenye kuandika pale kwenye mashine mwisho wa siku huwa wanalipishana wenyewe...
Walipishane wenyewe lakini basi kwenye system isionekane tena kama ninadiwa.
 
Nadhani hujaelewa somo.Wakishachukua namba ya gari ni rahisi kumtafuta mwenye gari.


Walipishane wenyewe lakini basi kwenye system isionekane tena kama ninadiwa.

Kwenye huo mfumo waondoe option ya kuona namba za simu badala yake kama kuna ulazima basi namba ya simu ikasome TRA tu
 
Kipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hawa polisi JPM Keshabariki maovu yao. Hata useme vipi hawachukuliwi hatua yoyote. My take jihadhari na polisi vitengo vyote kadiri unavyoweza, epuka sana kutumia private means of transport. Zile POS walizopewa ni majanga unabambikwa kosa ukilalamika unaambiwa wamepewa malengo ya makusanyo. Ukiuliza mbona hiyo kazi ya kukisanya mapato siyo ya polisi ni ya Tra unaambiwa twende kituoni ukaseme hayo matusi mbele ya OCD. ukifika huko unawekwa ndani. Chezea polisi ya magu wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…