Traffick mtupime kuthibiti Pombe njian ♌ usiku huu kupunguza ajali....vijana wako bar Toka saa nane mchana

Traffick mtupime kuthibiti Pombe njian ♌ usiku huu kupunguza ajali....vijana wako bar Toka saa nane mchana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Polen najua nawachukulia mda WENU kufurahia MWAKA mpya

Kumekuwa na ajali za ajabu sana MWAKA mpya ambapo

Kama kungekuwa na upimaji wa vilevi huko njian walipotokea

Tungeeweza kuthibiti vifoo kadhaaa

TUNAOMBA leoo tukeshe wote kulinda uhai wetu

Dec imekula sana JAMAN kupitilixa

Mpaka tukasema why disi??
 
Polen najua nawachukulia mda WENU kufurahia MWAKA mpya

Kumekuwa na ajali za ajabu sana MWAKA mpya ambapo

Kama kungekuwa na upimaji wa vilevi huko njian walipotokea

Tungeeweza kuthibiti vifoo kadhaaa

TUNAOMBA leoo tukeshe wote kulinda uhai wetu

Dec imekula sana JAMAN kupitilixa

Mpaka tukasema why disi??
WAzo zuri,ila na utuambie nawe ni miongoni mwa vijana mliokaa hapo mkinjunja Gambe tangu hiyo saa8?
 
WAzo zuri,ila na utuambie nawe ni miongoni mwa vijana mliokaa hapo mkinjunja Gambe tangu hiyo saa8?
MKUUU
Napiga gambee kawe kwa Dk Mwampoosa Toka saa 12..niache vuka na changu wewee naijua hii
 
Nilitoka Ibadan MWAKA Jana aisee nikakuta kijana WA kihindi. Kajifia pale salenda bridge demu wake akihangaika kutoka kwenye garii wamelewa mpaka basi...
 
Hicho kidude wanachopimia ulevi hakienezi magonjwa?maana Huwa nawaona polisi wanawawekea mdomoni bila kubadilisha wakati huo na mikono Yao polisi ni michafu sababu ya kupokea Hela za rushwa kutoka mikono michafumichafu ya watu wengi.
 
Back
Top Bottom