Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Kama mweusi, uko sawa kabisa kumkubali. Wanaume weusi "wanatia moyo" kuliko wale weupe sio kabisa yaani. Haya shoga yangu ukumbuke na kunipa feedback, pia leo akikuchekea tena unijuze PM hahahahahahahhahahaha.hahaaa mweusi shoo!yeah hensam !lol
Hahaha MBITIYAZA !! Ameshakujua wewe ni FISI NYEKUNDU!Huyu trafik alinisimamisha siku moja wknd jpili nilikua naenda msamvu,nilihofu kiasi kwasababu sikua na lesen niliisahau home
akakagua vya kukagua na vimaswal vya hapa napale,triangle,bima,etc
nilikua na wanangu wakamchangamkia akatuachilia...
Basi imekuwa kawaida yake akiniona tu atafanya vimizengwe mradi nipunguze speed,
juzi nilimkuta kituo cha kanisani bas aliponiona akasogea barabarani nikampa hi ,na katabasam kakulazimisha (kwasabab siwapendi trafiki,police,wajeshi kwa ubabe wao huwa natamani kuwa mbabe zaid yao) ,.. basi imekuwa NDALILO ,jana ndo kajifanya kuvuka barabara mbele ya gari nayoendesha jicho lote kwangu akatoa kaulimi kidogo!oooohhh
nachojiuliza ananijuaje ni mbiti? kama kakariri plate # basi na mimi nikariri namba zake za begani!lols
natamani asihamishwe barabara lol niwe namuona tu
[HASHTAG]#akilizapasaka[/HASHTAG]
cc NAHUJA
Sawa mwenye garakili ikichoka
haaahaaaaaaaaaaa naona umeamua kunisimangia mume wangu!mweupeeeee pyeKama mweusi, uko sawa kabisa kumkubali. Wanaume weusi "wanatia moyo" kuliko wale weupe sio kabisa yaani. Haya shoga yangu ukumbuke na kunipa feedback, pia leo akikuchekea tena unijuze PM hahahahahahahhahahaha.
Pole yanini mkuupole
Nitamtoa mshipanatamani asihamishwe barabara lol niwe namuona tu
hahahahah, onja ladha ya "trafic" mweusi. hahahahahah. Unaonekana shoga uliolewa ukiwa "sealed" na hujaona tena nyingine, hebu onja ya askari wa kikosi cha usalama barabarani (mweusi) ulinganishe na ya Mr, wako hahahaha.haaahaaaaaaaaaaa naona umeamua kunisimangia mume wangu!mweupeeeee pye
Kwa sababu haisi saivi zinaenda mpaka azimio sekondar itabid apelekwe hukohaaahaaaa kwa chambo nitamuona
Hii kitu inataka kuwa kama ile vuta nivute yako na Miss Natafuta![emoji30][emoji30][emoji30]Ngoja akuongezee mtoto Na kutoka nduki ndio utajua Polisi ni nani
haahaaaaaaaa nimechekaaaaaaa!kuna mama mtu mzima yupo mkomola hua namgwayaaamhhh hapo kuna namna sio bure...,hako kaulimi kasije kikalamba visivyolambika...ila kama ukitaka ujue hawatoag viulimi pita round about ya stend ya hiace hapa alafu kuwe na jam utaona miujiza..kuna trafk anasura ngumu akikuangalia hata gar laweza zima..ehehee