Trafic huyu jamani

Hahaha MBITIYAZA !! Ameshakujua wewe ni FISI NYEKUNDU!
 
haaahaaaaaaaaaaa naona umeamua kunisimangia mume wangu!mweupeeeee pye
hahahahah, onja ladha ya "trafic" mweusi. hahahahahah. Unaonekana shoga uliolewa ukiwa "sealed" na hujaona tena nyingine, hebu onja ya askari wa kikosi cha usalama barabarani (mweusi) ulinganishe na ya Mr, wako hahahaha.

Akili za kuambiwa changanya naza kwako (JK)
 
mhhh hapo kuna namna sio bure...,hako kaulimi kasije kikalamba visivyolambika...ila kama ukitaka ujue hawatoag viulimi pita round about ya stend ya hiace hapa alafu kuwe na jam utaona miujiza..kuna trafk anasura ngumu akikuangalia hata gar laweza zima..ehehee
 
haahaaaaaaaa nimechekaaaaaaa!kuna mama mtu mzima yupo mkomola hua namgwayaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…