Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pls jioni Pitia pale Polyster Club upate mbili baridiiiihaaaaaaahhhh usiiikariri
unanicheka mwenzio nimepewa za uso😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Na mm sipendi ujinga nitanunua maji tuhaaahaaa wako juuu
hahahahahaah, nimecheka maana umekuja kasi hadi hoteli ulipofikia. hahahah Mbiti ni mke wa mtu mwenye ndoa yake takatifu na hana historia ya kuchepuka, hapa ni jukwaa la chitichati hahahahaah. Pole funzadumeunanicheka mwenzio nimepewa za uso
kwani unakaa wapi Kihonda, Misufini, Nanenane, Tubuyu, Mazimbu road, Msamvu, Viwandani, Mazimbu ndani, Kilakala, Kigurunyembe, Kola, au?haaahaaa hapana!uje unitundike huku kwa id nyingne inahusu!
yao) ,.. basi imekuwa NDALILO ,jana ndo kajifanya kuvuka barabara mbele ya gari nayoendesha jicho lote kwangu akatoa kaulimi kidogo!o
sasa mbona anataka kumpa kitumbua trafiki? si bora anigee mie mjasiriamali wa kati kila mwezi naenda Guanzhouhahahahahaah, nimecheka maana umekuja kasi hadi hoteli ulipofikia. hahahah Mbiti ni mke wa mtu mwenye ndoa yake takatifu na hana historia ya kuchepuka, hapa ni jukwaa la chitichati hahahahaah. Pole funzadume
maeneo ya Kilimanjaro?veta kwa mbele
Kuna siku nilikuta wamasai mtu na baby wake pale kwenye masofa kama mlangoni wanakunywa fanta nikasema mahaba mahabani wacha watu waenjoyhaaaaah!mie nakaaaga alone
hahahaaahhaha,hapa nimekosa jibu labda nimuite dogo Demiss anisaidie kukujibusasa mbona anataka kumpa kitumbua trafiki? si bora anigee mie mjasiriamali wa kati kila mwezi naenda Guanzhou
Pako poa sna ni karibu na Maghorofani,hasa kma mna maongezi ya marafiki au ndugu yani pako poa hakuna kelele na kitimoto ipo ya kumwaganapasikiaga tu!nakula blak n white nw!asannte kujali