Trafic huyu jamani

Trafic huyu jamani

Huyu trafik alinisimamisha siku moja wknd jpili nilikua naenda msamvu,nilihofu kiasi kwasababu sikua na lesen niliisahau home
akakagua vya kukagua na vimaswal vya hapa napale,triangle,bima,etc
nilikua na wanangu wakamchangamkia akatuachilia...

Basi imekuwa kawaida yake akiniona tu atafanya vimizengwe mradi nipunguze speed,
juzi nilimkuta kituo cha kanisani bas aliponiona akasogea barabarani nikampa hi ,na katabasam kakulazimisha (kwasabab siwapendi trafiki,police,wajeshi kwa ubabe wao huwa natamani kuwa mbabe zaid yao) ,.. basi imekuwa NDALILO ,jana ndo kajifanya kuvuka barabara mbele ya gari nayoendesha jicho lote kwangu akatoa kaulimi kidogo!oooohhh
nachojiuliza ananijuaje ni mbiti? kama kakariri plate # basi na mimi nikariri namba zake za begani!lols

natamani asihamishwe barabara lol niwe namuona tu
[HASHTAG]#akilizapasaka[/HASHTAG]

cc NAHUJA
Ndio umekuja kunifungulia uzi huku Lol, you are beautiful 🙂
 
Ndio mimi mbitiyaza naomba namba zako sasa,na mimi naugulia wamenihmisha nimegoma ili tu nikuone.
 
Huyu trafik alinisimamisha siku moja wknd jpili nilikua naenda msamvu,nilihofu kiasi kwasababu sikua na lesen niliisahau home
akakagua vya kukagua na vimaswal vya hapa napale,triangle,bima,etc
nilikua na wanangu wakamchangamkia akatuachilia...

Basi imekuwa kawaida yake akiniona tu atafanya vimizengwe mradi nipunguze speed,
juzi nilimkuta kituo cha kanisani bas aliponiona akasogea barabarani nikampa hi ,na katabasam kakulazimisha (kwasabab siwapendi trafiki,police,wajeshi kwa ubabe wao huwa natamani kuwa mbabe zaid yao) ,.. basi imekuwa NDALILO ,jana ndo kajifanya kuvuka barabara mbele ya gari nayoendesha jicho lote kwangu akatoa kaulimi kidogo!oooohhh
nachojiuliza ananijuaje ni mbiti? kama kakariri plate # basi na mimi nikariri namba zake za begani!lols

natamani asihamishwe barabara lol niwe namuona tu
[HASHTAG]#akilizapasaka[/HASHTAG]

cc NAHUJA


For what u write wewe ndiye unayewashwa naye, yeye anafanya kazi yake!
 
Ushanipa mzuka wa kuendelea nilipoachia manake kwa mbaaaaaali naona kama kuna utamu utamu hivi!

Uliniambia unaitwa Mbiti enh?

hahhahaha sijawah ulizwa jina na yy!lols
 
hahhahaha sijawah ulizwa jina na yy!lols
Nikuulize wakati ulishanipa leseni! Hebu niambie, utapita lini tena? Lakini usipite na watoto bhana... hawa watoto wa Kidijitali hawakawii "Dad, na leo uncle chige alimkamata mamy akaenda nae hotelini kulipia faini sisi akatununulia chips snack tukasubiri kwenye gari!"
 
Nikuulize wakati ulishanipa leseni! Hebu niambie, utapita lini tena? Lakini usipite na watoto bhana... hawa watoto wa Kidijitali hawakawii "Dad, na leo uncle chige alimkamata mamy akaenda nae hotelini kulipia faini sisi akatununulia chips snack tukasubiri kwenye gari!"

hahahahah usemayo yana akisi ukweli!niliwah mhug mshikaj mmoja town walilifikisha km lilivyo!hatarious
 
hahahahah usemayo yana akisi ukweli!niliwah mhug mshikaj mmoja town walilifikisha km lilivyo!hatarious
Ila tuache masihara; mwaka nikiingiwa na pepo la kutamani kuchepuka na mke wa mtu nahisi hilo pepo litaisaka damu yako kwa udi na uvumba!!
 
Ila tuache masihara; mwaka nikiingiwa na pepo la kutamani kuchepuka na mke wa mtu nahisi hilo pepo litaisaka damu yako kwa udi na uvumba!!

pepo mchafu pishana nnaye round about
 
Back
Top Bottom