JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
"Umepanda pikipiki dereva anaenda isivyo wewe unashindwa kumwambia?, kwa maana hiyo na wewe unakubaliana naye, hivyo jamii ichukue hatua katika hili hivyo tutasogea (kuepusha ajali)"- Sgt Amin Iddi, Traffic Dar es Salaam.
"Mtazamo wa wengi ni kwamba usafiri wa haraka ni bodaboda, abiria yeye ndiye anayemsukuma mwendeshaji amuwahishe anakokwenda, hapo unapata picha kwamba jamii na yenyewe inachangia,"- Sgt Amin Iddi, Traffic, Dar es Salaam.
Source: East Africa Radio