Trafiki Dar, Rais Magufuli anawaona. Msitake tumfuate Chamwino

Trafiki Dar, Rais Magufuli anawaona. Msitake tumfuate Chamwino

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Korona ilipoingia Rais Magufuli alichukua hatua zote stahiki kuzuia.

Katika hali ya kushangaza, Rais huyu asiyelala kwa ajili ya Taifa lake Kitengo cha Usalama BARABARANI kimelala usingizi wa pono.

Rais aliagiza magari na usafiri wa umma watu wasisimame, wakae level seat, baadhi ya daladala wakawa wajanja wakaenda kurudishia zile siti za katikati ambazo waliondoa ili watu wasimame.

Baadhi ya daladala, tena nyingi ZIMEWEKA MAKOPO YA RANGI, MAWE na wengine viroba vya uchafu na ndoo ili watu wakae, wanaokaa katikati ni wengi kuliko kwenye siti na hapa inaondoa ile dhamira njema ya raisi kuwa watu wachache kuondoa KORONA.

Mheshimiwa Rais, TRAFIKI wanajua hili ila wanatumika kukuhujumu kitu ambacho tunakupa taarifa tru, wabaya wako wapo na wewe.

Sisi wananchi wa kawaida tunajua dhamira yako njema ila hatuna la kufanya kwakuwa hawa watu wanakula na mapolisi.

Mh Raisi Magufuli, kuna Daladala/Kosta ya Makumbusho Posta kupitia Sinza imeweka makopo, na hiyo gari ndani imeoza kabisa ila kwakuwa mmiliki wake ni askari usalama na yupo Kituo cha kati jini hakuna wa kulikamata, Naomba mheshimiwa Rais fanya yafuatayo.

Ziara ya kushtukiza kwa kamanda ama IGP na kukamata simu za hawa wanao kuhujumu ili ujue wanao shirikiana nao.

Makonda56 paul charz md paul makoye
 
Write your reply. Kuna mambo ya kumu addres Rais, hili hata DC au RC ana solve, mbona mnapenda kushusha hadhi sana status ya Urais?
 
Write your reply...Kuna mambo ya kumu addres Rais,hili hata DC au RC ana solve,mbona mnapenda kushusha hadhi sana status ya Urais?
Nilisha ripoti kote huko na hawataki kwakuwa haiwahusu.
Mbona akinamama wanaodhulumiwa ardhi rasi huwa anawasaidia?

Hao RC na DC kila mmoja anatafuta jimbo la kugombea, hakuna anaye jishughulisha na maisha ya wanyonge.

Hawajui rais anavyohangaika na watanzania ila hawa watenddaji ndio wnamuangusha.

Yeye avunje na kupangua kikosi cchote cha uslama barabarani hapa Dar
 
duh kumbe bora mimi niliyekutana na vigoda.
 
Acha kupiga kelele,Raia kashasema Corona imeisha.
Maisha yamerud kawaida,hata barakoa hatuvai.
 
duh kumbe bora mimi niliyekutana na vigoda.
alah!
Yapo ya Vigoda, sasa yamekuja ya makopo ya rangi, huu ni udhalilishaji wa Rais, hatuwezi weka RTO, RPC wakae tu ofisini, hapana, tunahitaji reform ya hiki kikosi kwa jiji la Dar es salaam
 
Korona ilipoingia Rais Magufuli alichukua hatua zote stahiki kuzuia.

Katika hali ya kushangaza, Rais huyu asiyelala kwa ajili ya Taifa lake Kitengo cha Usalama BARABARANI kimelala usingizi wa pono.

Rais aliagiza magari na usafiri wa umma watu wasisimame, wakae level seat, baadhi ya daladala wakawa wajanja wakaenda kurudishia zile siti za katikati ambazo waliondoa ili watu wasimame...
Mbona Rais mwenyewe kasema korona kwishnei mambo yaendelee kama kawa kama zamani?
 
Acha kupiga kelele,Raia kashasema Corona imeisha.
Maisha yamerud kawaida,hata barakoa hatuvai.
Wagonjwa wwalibaki wanne, tuendelee na maombi ya kumshukuru Yesu, ugonjwa unaondoka hivyo
 
Tatizo ni wananchi kwanini ukubali kubanana au kukaa chini?
Mi kwnye daladala napenda kukaa mbele tu
 
Usafiri mgumu mkuu kausha tu hakuna haja ya kuogopa kubanana kwny gari wakati kazini kwako kariakooo watu kibao....
 
Korona ilipoingia Rais Magufuli alichukua hatua zote stahiki kuzuia.

Katika hali ya kushangaza, Rais huyu asiyelala kwa ajili ya Taifa lake Kitengo cha Usalama BARABARANI kimelala usingizi wa pono.

Rais aliagiza magari na usafiri wa umma watu wasisimame, wakae level seat, baadhi ya daladala wakawa wajanja wakaenda kurudishia zile siti za katikati ambazo waliondoa ili watu wasimame.

Baadhi ya daladala, tena nyingi ZIMEWEKA MAKOPO YA RANGI, MAWE na wengine viroba vya uchafu na ndoo ili watu wakae, wanaokaa katikati ni wengi kuliko kwenye siti na hapa inaondoa ile dhamira njema ya raisi kuwa watu wachache kuondoa KORONA.

Mheshimiwa Rais, TRAFIKI wanajua hili ila wanatumika kukuhujumu kitu ambacho tunakupa taarifa tru, wabaya wako wapo na wewe.

Sisi wananchi wa kawaida tunajua dhamira yako njema ila hatuna la kufanya kwakuwa hawa watu wanakula na mapolisi.

Mh Raisi Magufuli, kuna Daladala/Kosta ya Makumbusho Posta kupitia Sinza imeweka makopo, na hiyo gari ndani imeoza kabisa ila kwakuwa mmiliki wake ni askari usalama na yupo Kituo cha kati jini hakuna wa kulikamata, Naomba mheshimiwa Rais fanya yafuatayo.

Ziara ya kushtukiza kwa kamanda ama IGP na kukamata simu za hawa wanao kuhujumu ili ujue wanao shirikiana nao.

Makonda56 paul charz md paul makoye
Anza na mkuu wako wa mkoa, mbona makonda ukimpatia hii skendo ndiyo anapita nayo humo humo
 
Anza na mkuu wako wa mkoa, mbona makonda ukimpatia hii skendo ndiyo anapita nayo humo humo
Mheshimiwa, hii ndio kiki ya kutokea na kufunika sakata la Mbowe kudungwa sindano na kikosi kazi, Paul Christian naomba uamke nalo kesho, itv , TBC, CLOUDS wote waonyeshe live unavyovizia magari, itakutoa sana kisiasa na itasaidia kwenye kampeni yako ya ubunge jimbo la kigamboni kutimia.
 
Back
Top Bottom