Trafiki Dar, Rais Magufuli anawaona. Msitake tumfuate Chamwino

Trafiki Dar, Rais Magufuli anawaona. Msitake tumfuate Chamwino

Lugola alijitahidi kuwanyoosha sana na ndie alietafsiri Sheria ya ubovu wa gari ni kosa moja na kuondoa zile fine za kutupiana wanaziita jini sema ndio hivyo tena upande mwingine alikua anachimba kiaina tena...sema angewanyoosha na alipotimuliwa walifanya sherehe...
 
Lugola alijitahidi kuwanyoosha sana na ndie alietafsiri Sheria ya ubovu wa gari ni kosa moja na kuondoa zile fine za kutupiana wanaziita jini sema ndio hivyo tena upande mwingine alikua anachimba kiaina tena...sema angewanyoosha na alipotimuliwa walifanya sherehe...
lakini kweli, Lugola mauno yake ndio yamemponza, hawezi kukata namna ile wakati walio juu yake hawafanyi hivyo, hakiya nani yale mauno hata uwe mwanamke gani lazma umepnde Lugola
 
Nilisha ripoti kote huko na hawataki kwakuwa haiwahusu.
Mbona akinamama wanaodhulumiwa ardhi rasi huwa anawasaidia?

Hao RC na DC kila mmoja anatafuta jimbo la kugombea, hakuna anaye jishughulisha na maisha ya wanyonge.

Hawajui rais anavyohangaika na watanzania ila hawa watenddaji ndio wnamuangusha.

Yeye avunje na kupangua kikosi cchote cha uslama barabarani hapa Dar
upuuzi!!-
 
wewe ni kati ya ma-askari mnaopokea hizo karatasi zinazofanana na elfu mbili , siku zenu zinahesabika.
Mandiba acheni kuchukua fedha isiyo halali yenu, jifunze kwa Nkurunziza, utaiba, utakula rushwa, utapostaafu na kusema sasa ninakula kazi ya mikono yangi Mungu anakuchukua, mkeo, watoto na wakwe, haya , !jifunze
 
Back
Top Bottom