Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Hii tabia ya kusimamisha mabasi kabla ya kutoka manyoni ukiwa unatoka Dodoma mpaka yafike 15 halafu mna aescort kwa kilometa kadhaa then wanaachiwa huko wapambanie msubiri ajali mbaya ya kugongana wao kwa wao kwa sababu zifuatazo
1: kwanza madereva wa mabasi wakifatana wengi wana hulka ya kupambana overtake kibao na sehemu hatari
2: mnakuwa mmechelewesha mabasi kwa sababu ya kusubiria yafike 15 au zaidi kwa dk 40 au zaidi! wanaamua kufidia muda wao hasa usiku
mkuu wa usalama barabarani kama wewe ni FREEMASON sawa ila usubirie kutuletea majanga yasiyofutika maisha
usipokemewa wewe muhaya unayejiskia utaona madhara yake baadae maana utaua ndugu zako wa bukoba na mwanza
1: kwanza madereva wa mabasi wakifatana wengi wana hulka ya kupambana overtake kibao na sehemu hatari
2: mnakuwa mmechelewesha mabasi kwa sababu ya kusubiria yafike 15 au zaidi kwa dk 40 au zaidi! wanaamua kufidia muda wao hasa usiku
mkuu wa usalama barabarani kama wewe ni FREEMASON sawa ila usubirie kutuletea majanga yasiyofutika maisha
usipokemewa wewe muhaya unayejiskia utaona madhara yake baadae maana utaua ndugu zako wa bukoba na mwanza