Train ya TZ SGR - imeshaonja konyagi

Train ya TZ SGR - imeshaonja konyagi

Ghaaa , Yani mitungi ya Konyagi hata hayajashuka vizuri na ndio hivo basi ? Walai Danganyika itatuonyesha moshi Nyeusi
 
Hiyo Wala Siyo Serikali Ya Viwanda Iliyoinunua
Hiyo Ni Ya Wakina Ottoman Empire (Turkish)
Chuma Tukachonunua Kitalamba Reli Safi
 
Huyo mchochezi aliye piga sefiii kwenye hiyo tereni anatakiwa anyongwe hadi a fee. Maanaaa hawezi kuichochea serikali na wananchi wake.

Msio julikana kwanini hadi Sasa hamjampoteza. ? . hamuoni anavyo mchafua alfa na omega jiwe.
 
Hicho kichwa hakikutupendeza, tumeamua tukitupe hapo tuagize kingine kipya..Naona tabia za kibera ya kuchokora chokora takataka ya wengine bado ipo...Mnaweza kuja kuokota takataka yetu ikiwapendeza
[/QUOT
Tanzanians You don't offer anything new., You've been singing Kibera and Turkana for like 10 yrs.,Just be creative and find something else new to console your fellow countrymen., You get immune to intended impact when something is repeated too much
 
Hehehe
697e6f17fb85b8618f5376e476185df3.jpeg
 
Back
Top Bottom