INAUZWA Transcend external hard disk inauzwa

INAUZWA Transcend external hard disk inauzwa

King Elly

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,206
Reaction score
1,312
Mzigo ni 160,000 njoo nikuuzie kwa 140,000

SPECIFICATIONS UKUBWA NI TERABYTE 1,
PERFORMANCE & HEALTH NI 100%
SPEED 3.1
Nipo Dodoma piga simu 0625796805

s-l640.jpg
 
Yaan ninunue hard disk ya GB 1 kwa 160k kweli una akili sawa sawa wewe??
 
Kwa hio masuala ya upya au ukuu kuu, na uwezo wake wa uhifadhi ajibu shangazi yangu.
Mtu mwenyewe hata kuandika kwa tarakimu anashindwa ataweza hayo mengine, nimetafta mzigo wa laki 6 nikawa nakosa nikarudia kusoma mara mbili ndipo nikaona kumbe ni 160,000
 
Mtu mwenyewe hata kuandika kwa tarakimu anashindwa ataweza hayo mengine, nimetafta mzigo wa laki 6 nikawa nakosa nikarudia kusoma mara mbili ndipo nikaona kumbe ni 160,000
Wabongo mna maneno! Mtu anafanya biashara. Kuna shida gani mkimuelekeza kwa staha ili arekebishe tangazo lake, badala ya kumkejeli!!

Anyway, nimefurahishwa na uungwana wake wa kuwajibu kwa staha.
 
Wabongo mna maneno! Mtu anafanya biashara. Kuna shida gani mkimuelekeza kwa staha ili arekebishe tangazo lake, badala ya kumkejeli!!

Anyway, nimefurahishwa na uungwana wake wa kuwajibu kwa staha.
asante mkuu mi ni mkongwe hapa jf kwaio kujazwa upepo hapa ni kawaida tu na mpaka napost biashara nakua na mategemeo mawili yani nakua nimesha jiandaa mindset mana kuna watu wajuaji na watu wanao mind their own bzness
 
Back
Top Bottom