Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio masuala ya upya au ukuu kuu, na uwezo wake wa uhifadhi ajibu shangazi yangu.Mzigo ni laki na 60 njoo nikuuzie kwa laki na 40
Nipo Dodoma piga simu 0625796805
View attachment 1836773
Hata shangazi yake sina uhakika kama anaweza kujibu.Kwa hio masuala ya upya au ukuu kuu, na uwezo wake wa uhifadhi ajibu shangazi yangu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hio masuala ya upya au ukuu kuu, na uwezo wake wa uhifadhi ajibu shangazi yangu.
Mtu mwenyewe hata kuandika kwa tarakimu anashindwa ataweza hayo mengine, nimetafta mzigo wa laki 6 nikawa nakosa nikarudia kusoma mara mbili ndipo nikaona kumbe ni 160,000Kwa hio masuala ya upya au ukuu kuu, na uwezo wake wa uhifadhi ajibu shangazi yangu.
Wabongo mna maneno! Mtu anafanya biashara. Kuna shida gani mkimuelekeza kwa staha ili arekebishe tangazo lake, badala ya kumkejeli!!Mtu mwenyewe hata kuandika kwa tarakimu anashindwa ataweza hayo mengine, nimetafta mzigo wa laki 6 nikawa nakosa nikarudia kusoma mara mbili ndipo nikaona kumbe ni 160,000
asante mkuu mi ni mkongwe hapa jf kwaio kujazwa upepo hapa ni kawaida tu na mpaka napost biashara nakua na mategemeo mawili yani nakua nimesha jiandaa mindset mana kuna watu wajuaji na watu wanao mind their own bznessWabongo mna maneno! Mtu anafanya biashara. Kuna shida gani mkimuelekeza kwa staha ili arekebishe tangazo lake, badala ya kumkejeli!!
Anyway, nimefurahishwa na uungwana wake wa kuwajibu kwa staha.