klabu ya Arsenal ina nia ya kupata saini ya kiungo wa Borussia Monchengladbach Thorgan Hazard
pia klabu hiyo inamuhitaji beki wa kulia wa Real Madrid Danillo
klabu ya Everton imeweka wazi kwa timu yoyote inayomuhita kiungo wake Ross Barkley dau lake ni euro milioni 50.......Tottenham na Manchester City wanamuhitaji mchezaji huyo