Transfers Talk Special Thread 2017/18

Pia kocha wa timu ya brazil amesema coutinho atafaa akicheza barcelona ingawa itabidi afanye juhudi kupata namba
Source.goal.com
 
Sevilla imeachana na kocha wao Gorge Sampaoli ambae anahusiswa kujiunga na timu ya taifa ya Argentina

source: Blid
 
Kama zisipo fanyika jitihada za ziada za kuwabakisha jangwani, msuva na ngoma haoooo unyamani!
 
kocha wa Manchester United amepanga kufanya mabadilishano na Real Madrid (Morata) kama watahitaji saini ya De Gea

source: Marca
 
Done deal, Manchester City wamefanikiwa kuipata saini ya Benardo Silva kutoka AS Monaco ya Ufaransa na amepewa jezi namba 20

source: goal.com
 
kiungo wa Manchester United Ander Herrera amesema hajafikilia kwenda Barcelona kwa kipindi hiki cha karibuni
 
timu ya Bayern Munich inajipanga kufukuzia saini ya winga machachali wa klabu ya Chelsea Willian
 
West Ham ipo tayari kutoa kiasi cha euro milioni 15 kwa ajili ya fowadi wa Manchester City Kelechi Ihenacho
 
Jose Mourinho amwembia bosi wa Real Madrid kama ana muhitaji kipa wake David De Gea basi wafanye mabadilishano na beki wao Rafael Varane
 
Rafa Benitez ana mpango wa kumrudisha kipa Pep Reina katika ligi ya Epl msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…