Transformer la umeme mtaa wa Livingstone na Lindi lageuka kitega uchumi kwa wafanyakazi wa TANESCO

Si ungewapa hela yenye shoti ya umeme kutoka serikalini ili iwe fundisho kwao?
 
Hii nchi kuna mambo ya kishenzi sanaaa,,plz doto biteko najua uko umu acha kuchekacheka na washenzii,,anaezingua mweke pembeni weka mwingne

Vijana wamejaa tele mtaan mnalambanalambana uko kwa mambo ya kishenzi
 
Si ungewapa hela yenye shoti ya umeme kutoka serikalini ili iwe fundisho kwao?
Mkuu serekalini tunalindana uliza wote waliokamatishwa Ela za TAKUKURU kama wanafungwa wote ni kesi utasumbuana nayo miaka 2 after hapo unashinda unalipwa pesa zako unarudi kazini
 
Mkuu serekalini tunalindana uliza wote waliokamatishwa Ela za TAKUKURU kama wanafungwa wote ni kesi utasumbuana nayo miaka 2 after hapo unashinda unalipwa pesa zako unarudi kazini
Wewe unamkamatisha tu. Hayo ya kuja kuachiwa huko mbeleni ni juu yao. Muhimu ni kwamba mpokea rushwa atakuwa amepata somo.
 
Draft barua kwenda meneja wa Tabesco - Dar. Then itume kwa Whatsapp katika format ya PDF 0758 346 869.
 
Draft barua kwenda meneja wa Tabesco - Dar. Then itume kwa Whatsapp katika format ya PDF 0758 346 869.
Barua yangu nduo hii, sina nyingine, aione na arudishe umeme mtaa wa Lindi na Livingstone, hatuna umeme hadi sasa kila siku!!!
 
Yaani hii hali ni kila siku, tumeshatoa pesa hadi tumechoka, sasa hali hii hadi lini, magenerator yanatutia hasara, mafuta bei juu!!! Sasa hii manake nini??!!!
Kwa nini mtoe pesa? Kwa nini msiende kwa Regional manager mkamueleze mkiwa na references za mawasiliano mliyofanya kwa watu wake?

Huoni kama kuita watu na kuwapa hela ni kuchochea tabia rushwa bila sababu yoyote?
 
TANESCO tunaomba rudisheni umeme mtaa wa Lindi na Sikukuu, mnatutesa sana kila siku, rudisheni umeme!!!
 
Kwa nini mtoe pesa? Kwa nini msiende kwa Regional manager mkamueleze mkiwa na references za mawasiliano mliyofanya kwa watu wake?

Huoni kama kuita watu na kuwapa hela ni kuchochea tabia rushwa bila sababu yoyote?
Usipotoa pesa wanakwambia tumeagiza kifaa, kinakuja lini hawasemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…