Tetesi: Transforming IFM into the University of Management & Applied Science

Tetesi: Transforming IFM into the University of Management & Applied Science

Another problem into problem..

Hatuhitaji hivi vyuo kwa Sasa...

Vocational education was the way,
Haya mambo ya kufundisha watu course za kuja kuzurura mtaani ni kuwapotezea vijana muda , Seriously ...
Hazina maana yeyote.
😀
 
Hio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.

Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.

Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.

Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.

Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.

Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?
Bwashee hivi vyuo vya IFM, CBE, IDM- Mzumbe, DIT na DSA vilianzishwa mahususi kabisa licha ya kuwepo vitivo vinavyofanana navyo pale The Hill- UDSM

Kwa misingi ya kuanzishwa kwake hivi vyuo ukiviunganisha havitaleta Tija yoyote

Kwa mfano CBE Msingi wake ni kutoa Wabobezi wa Masoko na Wataalam wa Vipimo

IFM Msingi wake ni kutoa Wabobezi wa Fedha na Usimamizi wa Kodi pia Social Security

IDM Msingi wake ni kutoa Wabobezi wa Uongozi katika fani za Utawala wa taaluma

Kimbinu hivi vyuo ni tofauti kabisa

Usiku ulale Unono 😃😃😃
 
Hio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.

Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.

Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.

Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.

Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.

Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?
IAA + CBE + IFM = University of management and applied Science
 
Hio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.

Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.

Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.

Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.

Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.

Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?
umeeleza vizuri, inawezekana kabisa. rwanda walifanikiwa kwa kuunganisha vyuo vidogo vidogo na kuwa na rwanda University
 
Back
Top Bottom