kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
πAnother problem into problem..
Hatuhitaji hivi vyuo kwa Sasa...
Vocational education was the way,
Haya mambo ya kufundisha watu course za kuja kuzurura mtaani ni kuwapotezea vijana muda , Seriously ...
Hazina maana yeyote.
Bwashee hivi vyuo vya IFM, CBE, IDM- Mzumbe, DIT na DSA vilianzishwa mahususi kabisa licha ya kuwepo vitivo vinavyofanana navyo pale The Hill- UDSMHio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.
Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.
Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.
Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.
Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.
Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?
Huna akiliPole sana Mangi ,endeleeni kunsujudu Mzee Mbowe
Degree ni nyingi kuliko F6Kuna mtu anataka kuruhusu huu ujinga? Chuo cha elimu ya kati kitakiwa kipi sasa? Hovyo kabisa
IAA + CBE + IFM = University of management and applied ScienceHio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.
Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.
Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.
Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.
Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.
Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?
umeeleza vizuri, inawezekana kabisa. rwanda walifanikiwa kwa kuunganisha vyuo vidogo vidogo na kuwa na rwanda UniversityHio si tatizo ni kuangalia sheria na kanuni zasemaje na kurekebisha ni kazi ndogo sana.
Labda kama unavyosema kuhusu maslahi.
Ila vyuo hivyo vyahamishiwa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia kisha chaundwa chuo kimoja cha biashara Tanzania, Business School.
Hivyo kwanza kutapunguza gharama za uendeshaji, baadhi ya majengo yatakuwa ni vitega uchumi vitavyoleta pesa, kuna kuwa na chuo kimoja kinotambulika Afrika na Duniani na kitaweza kuanzisha mahusiano na vyuo vingine vya biashara duniani ili kupata ujuzi zaidi na maendeleo ya teknolojia na office automation.
Hivyo Mzumbe, IFM na CBE vinakuwa affiliitate na UDSM na kozi zinakuwa simplified na kozi zingine kuziangalia kama zaendana na mahitaji kisha zafutwa.
Nasi tunakuwa na Havard yetu au vipi mkuu?