Transparency International: Some Members of EAC Bloc are Real Disappointing

Transparency International: Some Members of EAC Bloc are Real Disappointing

tanzania chini ya magufuli imejitoa katika mikataba mingi ya kuendesha serikali kwa uwazi.........


sasa najiuliza, hio rushwa wameichunguza vipi wkt data hazipo?......


saizi huko bungeni kuna mjadala wa hela ambazo hazieleweki zilikoenda, wizara na idara zingine zikipewa 228% ya bajeti ambayo bunge lilitenga, sasa hapo utasemaje?.........


ni kichaa tu ataamini tanzania rushwa imepungua, actually ni mwendawazimu ndio ataamini rushwa na ufisadi vimepungua!

yaaa, hiyo ndiyo hoja. mafungu yalitumika kinyume na sheria ya fedha ya mwaka husika. lkn kusema zimeliwa hiyo hoja hata CAG anashangaa imetokea wapi!!!?
 
yaaa, hiyo ndiyo hoja. mafungu yalitumika kinyume na sheria ya fedha ya mwaka husika. lkn kusema zimeliwa hiyo hoja hata CAG anashangaa imetokea wapi!!!?
kama hayajawa accounted for it means yametumika isivyo.......


and if thats the case, kwamba matumizi yake hayajulikani, ina maana hatujui zimetumikaje!.......


vitu kama hivi vitaharibu mno legacy ya magufuli, hela ya serikali huwezi kuigawa utakavyo wewe.... ndio maana kuna budget.......


sasa mambo ya wizara ya ajabu ajabu kupewa zaid ya 200% na zile za msingi kama elimu,kilimo,mifugo,utalii,afya, maji zinapewa chini ya 50% sidhan kama ni sahihi.........


sidhan kama kuna utashi wa kiasiasa kuikwamua nchi kutoka kwenye umaskin uliotopea!
 
It's called Corruption PERCEPTION Index.
Key word perception.

How can Tanzanians perceive their government as corrupt when their dictator has the media by the balls?
If Pombe allows free press, corruption cases would be exposed daily, and the perception of the peasants will change.
Rubbish rubbish. Source of data is not from Tanzania
 
Rubbish rubbish. Source of data is not from Tanzania

Ahaaa haaa haaa
watakuja na hoja ya kuwa wao ndo supa pawa pia mido inkamu.

huku ikiporomoka vibaya kwenye viwango vya kula milungila.
 
nimeona comment kadhaa za watu kushutumiana ktk nchi zetu izi za EAC hasa Tz na Ke , binafsi nilifikiria wadau mjadiliane kuhusu mambo kadhaa ndani ya EAC mfano free movement, political federation (hasa hili maanda ndio tunaelekea hapo), free tariff ni kama imeshindikana kwa nchi zetu izi za EAC
 
nimeona comment kadhaa za watu kushutumiana ktk nchi zetu izi za EAC hasa Tz na Ke , binafsi nilifikiria wadau mjadiliane kuhusu mambo kadhaa ndani ya EAC mfano free movement, political federation (hasa hili maanda ndio tunaelekea hapo), free tariff ni kama imeshindikana kwa nchi zetu izi za EAC

Ahaaa haaa haaa
tunajadilia sana, lkn tatizo la members wengine are always have the ulterior motives towards any piece of proposal tabled.
 
kama hayajawa accounted for it means yametumika isivyo.......


and if thats the case, kwamba matumizi yake hayajulikani, ina maana hatujui zimetumikaje!.......


vitu kama hivi vitaharibu mno legacy ya magufuli, hela ya serikali huwezi kuigawa utakavyo wewe.... ndio maana kuna budget.......


sasa mambo ya wizara ya ajabu ajabu kupewa zaid ya 200% na zile za msingi kama elimu,kilimo,mifugo,utalii,afya, maji zinapewa chini ya 50% sidhan kama ni sahihi.........


sidhan kama kuna utashi wa kiasiasa kuikwamua nchi kutoka kwenye umaskin uliotopea!

Kutumika isivyo ni tofauti na kuliwa mzee sawa???
Hata marekani kinachoendelea sasa kati ya trump na serikali yake ni hilo swala la dharula la ujenzi wa ukuta.

Baraza la serikali haliafiki matumizi nje ya bajeti,trump anataka apitishe hilo kama dharula,kibabe kaamua kufunga na shughuli za serikali.

Kuiiba hela tz awamu hii haiitaji tu kwamba uwe na ujasiri lakini pia na kichaa uwe nacho.kila mtu hamuamini mwenzie,kuna mtu alitegemea CAG angetoa tamko wakati huu!!!
 
Kutumika isivyo ni tofauti na kuliwa mzee sawa???
Hata marekani kinachoendelea sasa kati ya trump na serikali yake ni hilo swala la dharula la ujenzi wa ukuta.

Baraza la serikali haliafiki matumizi nje ya bajeti,trump anataka apitishe hilo kama dharula,kibabe kaamua kufunga na shughuli za serikali.

Kuiiba hela tz awamu hii haiitaji tu kwamba uwe na ujasiri lakini pia na kichaa uwe nacho.kila mtu hamuamini mwenzie,kuna mtu alitegemea CAG angetoa tamko wakati huu!!!
hela ambayo haionekani kwenye vitabu vya kiuhasibu vya serikali inakua imeenda wap?........


kumbuka CAG hatakiwi kusema hela imeibiwa mana hana mamlala hayo......


ila ile kauli ya kusema fedha kiasi flani serikali inashindwa kuonesha jinsi ilivyotumika, na haionekani kwenye vitabu vya uhasibu vya serikali maana yake nini???


NB. magufuli na inner circle yake hutakiwi kuwaamini sana maana wao pia ni binadamu kama kina lowasa,chenge,kikwete,mkapa, n.k n.k.................
 
Hahahaha, what about 1200 Kenyans who were perished during PEV in 2007 under directions of Uhuruto, and nor one has been charged to date.

What about nearly 300 Kenyans who killed by police during last election, nor even investigation about these killings. Kenyans lives are valueless.

I promise you, within one week, those who have committed this action will be apprehended and taken to court, this is Tanzania, we value life of each and every individual.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ati kenyan lives are.....ntajifanya.sjaskia[emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's called Corruption PERCEPTION Index.
Key word perception.

How can Tanzanians perceive their government as corrupt when their dictator has the media by the balls?
If Pombe allows free press, corruption cases would be exposed daily, and the perception of the peasants will change.
Umeshuta sense.bro,Tz is also corrupt sijui mbona you only see kenya,diffrnc ni government yenu ina controll kila staff so mtajua aje ulweli ka hadi news wana control

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio kitu nimeshindwa nini cha kuwaelimisha hawa, kitu hawaelewi hii ranking sio kuhusu level ya ufisadi ndani ya nchi, bali ni kuhusu mtazamo wa raia wahusika walipoulizwa kuhusu nchi yao, kwa nchi kama Tanzania ambapo raia wao wapo wapo tu, huwa hawajui mbele wala nyuma kazi yao kuimba pambio za kusifu chama tawala, wakihusishwa kwenye utafiti kama huu 'perception' yao lazima iwe ya kusifia.
Juzi zimeliwa trilioni 1.5 wakiona, mkaguzi mkuu wao akaishia kudhalilishwa na spika wao wakiangalia na kuchekea, akaishia kupigishwa magoti.
Issue ni kwamba kwa Kenya, tafiti kama hizi lazima zionyeshe piacha mbaya maana Wakenya hawapo gizani, wanakuambia kama ilivyo na hawasifii kijinga jinga.
True pia Tz zimeibwa mingi sana ni vile press haina strength ya kuja mbele na kusema facts,but you equally corrupt as us,kubali ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ferreira rubia alisema kuwa, jinsi demokrasia ilivyokita mizizi kwa baadhi ya nchi, ndiyo uwezekano wa nchi hiyo kufanya vyema katika orodha hiyo ya nchi fisadi zaidi duniani.
Kwa iyo demokrasia ya Tz ni bora kuliko kenya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Tz hamna Democracy muna feediwa chenye magu wants,ndo hawachoche venye anafanya kazi,mbna msikuwe na freedom of media

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom