๐ ๐ sawa mkuu Sina usemi juu ya Hilo .Ndo hvo mkuu,hasa kakiwa kametoka kuoga ile usiku wakat wa kulala ngoz zenu znapogusana unajihis tofaut sana tofaut na unapokuwa na mwanamke mkubwa
Nakazia na meno.Ila kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja ni kipaji.
Cha msingi wewe endeleza kipaji chako tu.
Mume wa mtu awe mchepuko.
Olewa na huyo kijana ambae hajaoa.
Ungewaacha hao watatu baki na huyo mkeo mtarajiwa..unawafungia wadada baraka zao
Wakati wengine wanatafuta waume wanaandika na matangazo wengine mko njia panda na ndoa 2
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmmmhmn sio kweli, unajua usisubirie kuingia katika dimbwi la tope ndipo uanze kuwaza kuhusu usafi maana ushaingia. Unatakiwa uwaze before haujaingia. Wewe unaongelea swala la uzinzi baada ya kuwa katika mahusiano ya uzinzi tayari?!Mimi mwenyewe nina mke ila kuna mdada natoka naye nampenda kinyama. Nina mpango wa kumuoa na yeye kakubali. So haya mambo yanatokea na huwezi kuyazuia kwa akili yako labda Mungu tu ndio azuie.
Nikusahihishe, ni kwamba usiipe nafsi yako kila inachotaka, bali ipe unachohitaji na kustahili.Pole kwa kujikuta njiapanda. Mwanangu nakushauri uolewe na huyo asiye na mke.
Kama wasemaji wasemavyo mke wa mtu sumu, hata mume wa mtu sumu pia. Kuna wanawake wamepata vilema kichaa na hata kufa kwa sababu ya waume za watu. Achane naye hata kama anakupenda vipi.
Usiipe nafsi yako kila inachokihitaji, itauponza mwili wako. iambie nafsi yako kuwa isukume damu na si vingine.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.
Ni swala la muda tutafuta wa kwako mwenyewe otherwise maisha yako yataingia kwenye misukosuko mikali
Halafu wanakuja hapa kuanza kuongea shudu kuwa wanaume sio watu wakati ufala ameleta mwenyewe...... Kuna majitu yanatia hasira. Mimi nikiona mwanamke anahangaika na mapenzi ya wizi huwa napatwa na hasira sana na tamani nipige niuwe."Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu"
Hapo naona umeamua kuangalia criteria ya POCHI,pochi ndio linakufanya umng'ang'anie huyo mume wa mtu.
Moyoni mwako hapo kuna kasauti kama nakasikia "mume wa mtu anajua kulea......".
Namuona single mother mtarajiwa akisha kuzalisha anarudi kwa mkewe,mnaanza kugombana kuhusu hela ya malezi ya mtoto.
Mwenzio anao wawili na wanataka kuhalalisha[emoji23][emoji23]Mwanaume hata wa kusingiziwa sina.da maisha haya
Tamaa huwa ina nguvu sana ila ya muda mfupi sana. Wewe unaweza kuona umefika hapo ila ngoja sasa upate unachotaka hautaamini kichwa kitakavyokusaliti.Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
kweli mkuu huu ni uroho wa wanaume unakuta jamaa anajuwa huyu ni mtu wa kufanya malengo nae na kuwa na future hapo bdy kumbe ndo kwanzaaa mwenzie anaumiza kichwa kuolewa na mume wa mtu kumbafuuu kabisaโน๏ธ.Nilishapoa ndugu, ila huwa kuna mambo nikiyaona huwa naghafirika sana. Ujue kujitoa kwa mtu ukiwa huna au una kidogo ila unaona wacha apate yeye kwanza angalau asijeweweseka na wenye navyo na mipango kede kede kumbe mtu huku pembeni ana mipango yake tofauti juu ya hicho mnachokipanga kila siku mkiwa wawili.
Huyu mdada kwa nini asimwambie tu huyo jomba ambaye yupo single kwamba mimi sina mpango na wewe, niko na mtu ila ukitaka kukaa kaa, usipotaka kaangalie mbele ili jomba achague mwenyewe. Kawahold wote halafu anashindwa kuamua afanye lipi
Mbaya sana kuolewa na kuzaa na mume wa mtu.Nakazia na meno.
Wewe hebu acha uongo wewe. Hivi unajua maana ya neno upendo au umeamua kuliabuse.....?!Inawezekana ndio au hapana nimeshindwa kuifafanua situation hii vizuri
Lakini naomba tu nikwambie nipo wakati mgumu
Umeshawahi kupenda watu wawili kwa wakati mmoja?
Mi nimeishia hapa comment ya kufungia mjadalaUtakomaa as umri wako unavyoendelea kusogea. Utapevuka zaidi. Utagundua huu upumbavu unaoung'ang'ania kwakusema unampenda sana mume wa mtu its just a matter of maturity.
Kuwa matured ni sambamba na kusema hapana kwa jambo lisilo sawa(lisilo sahihi) hatakama linakufanya ujisikie vizuri.
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke.
Elewa kuna mwanamke mwenzio huko atatelekezwa na watoto. Elewa kuna watoto huko watakua kwenye risk yakua watoto wa mtaani kisa wewe umeshindwa kuzuia tamaa zako ukakubali kuiiba furaha ya familia nyingine.
Please I beg you, mshauri, airudie familia yake.
Atakuzalisha, atakuzoea, vagina yako itatanuka, hautakua na ladha kama uliyonayo sasa. Ataanza kukuona kama anavyomuona mke wake sasahivi.
Nimejitahidi kuandika kwa lugha yakawaida, ila nimejisikia kukutukana matusi yote
wengi wanaishia pabaya .Nina ndugu yangu sjui walimloga kawa Kama chizi saivi yupo nyumbani na yule mwanaume akamkimbia karudi kwa mkewe saivi anaongea mwenyewe mara avue nguo mara Alie tu Yani ni vitu vya ajabu wamesha mzungusha Kila mahali ๐ naona alipigwa bab kubwaa .Mbaya sana kuolewa na kuzaa na mume wa mtu.
Hata nyie mbona mnapitia mengi na mapungufu yanakuwepo hata kwenye mechi, inshort nikimjua mwanaume mechi kadhaa namkinai tu, so ukisema Ni nyie si kweliAhahaaa....mila za zamani? Hapna,na wala sio kujipendelea...ni ndvyo tulivyoumbwa wanaume tunapenda sana kufanya mapenzi tofauti na wanawake...
Kuna wanawake wakisha zaa hupoteza hamu ya kufanya sex na hatimae huteza ata mvuto kwa mumewe...na apo ndo inaibuka ile law ya polygamy au michepuko.
Pia wanawake mnapitia mabadiliko mengi sana kitu ambacho kinawapelekea mjizuie kufanya mapenz tofauti na sisi wanaume ambao muda wowote tupo tayari.
Mwanaume kutomridhisha mkewe inategemea,huenda ikawa nisababu mojawapo ya kumchoka au afya ya mwanaume haipo vzur.
Si shauri mwanaume kuongeza mke kama mkewe hamridhishi na hampi haki zake stahiki.
Ila Mimi bado sijaoa.
Naaomba nisingizie mmMwanaume hata wa kusingiziwa sina.da maisha haya
Wanaume wakiwa wanapata free papuchi wanaweza kukuhaidi hata bombadia ya Magufuli huku wakikusifia uongo na kweli na kumkandia mama mjengo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea unani vunja mbavu, kumuu miza mke mkubwa huku ikiwa siri, mbona hauwezekan hata, anajidanganya San huyu bibie.