Trapped to a married man

Utawaweza watu; kujilisha tu ujinga. Ooh mwanaume kamili mwenye pesa na nguvu blah blah blah; basi utadhani wana pesa kweli na hizo nguvu, kumbe apeche alolo
Huwa wanakuwa na vikelele vya balehe zinawasumbua..... Waliopo kwenye mahusiano ya one woman man wametulia tu wanapanga the next anniversary atamsuprise vipi wife na zawadi nzuri na location gani.....
 
Mkuu tunawaza sawa nimetoka kushauri kitu hiki hikii...
Mapenzi kitu cha ajabu sana hata simshangai.,
Chezeya 'entanglement' wewe😅😂
 
Halafu Maya ameacha tumshauri yeye kakumbatiana na msukuma, Maya mbinguni utapasikia
Na kupasoma kwenye bible tu ila kuingia ni ndotoo😂😂😂

Ni kweli si vizuri ila Mungu anasamehe jmn yakumbukeni ya Mfalme Daudi na Mke wa Uriah
 
Sasa kama anakupenda kweli kwa nini asimuache mkewe ili akuoe wewe kihalali? Kuwa makini sana na hawa wanaume. Hujui the other side of the story kwa upande wa mkewe nini kinaendelea. Usidanganyike na maneno matamu anayokuambia sasaivi na kukupa vitu vizuri vizuri. Fikiria miakà mitano ijayo utakuwa wapi. Kama anakupenda kweli he should man up and confess his love to you before the whole world.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] amen
 
Tatizo sijui kwanini muda wote huwa tuna'assume wote waliooana wanapendana sana na ndoa huku ndani ziko perfect.,

assume ni wenzi ambao walioana cz of situation tu ila leo hii ndo anapata yale mapenzi kwa mtu tofauti na mume/mkewe

ama assume ndani ya nyumba kunawaka moto mtu anatamani faraja nje akiipata hataki kuipoteza....

ofcz mwisho wa siku namshauri Dada Maya aolewe na bachelor mwenzie ila akipata nafasi........na yule mume wa mtu .,moyo ni mdanganyifu sana and its complicated sometimes
 
Utawaweza watu; kujilisha tu ujinga. Ooh mwanaume kamili mwenye pesa na nguvu blah blah blah; basi utadhani wana pesa kweli na hizo nguvu, kumbe apeche alolo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo "apeche alolo" khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] my dear sio hivyo, tunaotoka na waume za watu kama tunachukua vidonge vyetu kupitia komenti za wajumbe..waliojaaliwa kutulia ndio wamatoa ushauri
 
Utawaweza watu; kujilisha tu ujinga. Ooh mwanaume kamili mwenye pesa na nguvu blah blah blah; basi utadhani wana pesa kweli na hizo nguvu, kumbe apeche alolo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hapo sasa, utadhani wao wanaojisifia kuchepuka hizo hela wanazo sasa
 
Wee angalia wapi kwako utakua na furaha zaidi ya kimaisha, haya mambo yapo sana yanatokea na maisha yanaendelea,
Kitu kimoja ukiweke kwenye akili yako kama utaolewa na huyo mme wa mtu kua usitegemee kuishi nae kama utakavyoishi na mme wa peke ako na wala usiwaze kuja kumfanya aishi na wewe zaidi kuliko mkewe,

Unaeza kuolewa na huyo asie na mke baadae nae anakuja kuoa mke mwingine, wee chagua ni wapi unaona kuna upendo wa kweli na tija katika maisha yako ya baadae....
 
Mmmmmmhmn u sound weird....
Kwahiyo unataka kusemaje? Tena mie sijataka tyuuuh kumshauri huyo, wallah uzi mzima ungehamia kwangu.
Acha mtu afurahi na hitaji la maisha yake.
 
Up
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
Naunga mkono😂😂 watakatifu unyao wangu.
Dear we fanya kinachokupa amani wewe ni mtu mzima unajua zuri na baya..hapa wengine watakuita Majina yote..ila we mwenyewe ndiyo wajua wataka nini
 
Ameeeen
 
Wengi wanahitimisha akishakuzalisha atakuacha mara sijui single mother mtarajiwa....hv haijulikani kuwa kuna wanaume wengine watoto ndio udhaifu wao? Hata kama hakuwa na mapenzi ya dhati ukimzalia ndio ushamteka? Simaanishi kuwa jamaa ni wa aina hii ila ni vema kuhukumu kulingana na uhalisia na si mazoea....

Back to the topic; hapo changamoto kubwa ni dini ila linapokuja suala la mapenzi hata shetani hukaa chini kujifunza,binafsi nimezaliwa na kukulia katika ndoa ya mke zaidi ya mmoja na kizuri mshua anaishi na wakeze wote pamoja tangu enzi na enzi bila tatizo lolote....kwa misingi ya dini yenu ni vema ungejiweka pembeni maana hapo hakuna suluhu ya maana siku za mbeleni zaidi ya migogoro isiyokwisha unless ukubali kuwa chini km mchepuko tu pamoja na hyo ndoa yako ya siri au mmoja akate kamba njiani kumpisha mwenzie
 
Ndo mana heri acheze kadi ya 'kula vyote'/win-win situation....aolewe na kijana mwenzie ila yule mume wa mtu apooze tamaa ya moyo kidogo.,mapenzi yana mambo yake jmn na watu wazima wote mnajua...na what if bachelor nae akazingua ?bora kuendelea nao wote tu ndugu msomaji
 
Up

Naunga mkono[emoji23][emoji23] watakatifu unyao wangu.
Dear we fanya kinachokupa amani wewe ni mtu mzima unajua zuri na baya..hapa wengine watakuita Majina yote..ila we mwenyewe ndiyo wajua wataka nini
Umemalizaaah, maamuzi yapo kwake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…