Trapped to a married man

Mapenzi oooh!Hivi vitu vipo,i Wish I had time to type na keyboard yangu mbovu x,s,w,2,Mpak Nitumie on screen keyboard inachosha kutype,To cut it Short,I was married na nikawa na mahusiano very strong na huyu dada,Nilifika stage hata dini nilitaka kubadili nimuoe,sikujali chochote,Nampenda hadi leo akisema kitu nitakua tayari kukifanya,Hujadissappoint mtu yeyote hata wanaokujua wakisema yao utashangaa<its like going to the hospital unaumwa lakini unafika unakuta mtu anaumwa zaidi unampisha na ni zamu yako kumuona Dr,Listen to your heart but don't leave your brain behind.
 
Asichokijua kuwa kucheza michezo ya ujana na mwanaume aliye katika ndoa ni kama kucheza na nguruwe katika matope... Mwenzio anaenjoy wakati yeye anachafuka.
Unajibu vizuri mpaka kuna vitu najifunza nitakuja kushauri hata watu wengine....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vichaa vya ndoa

[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi watu wameandika kwa hisia sana jamani
Watu jf ni watakatifu sana kwa hizi comment naona kabisa hakuna wachepukaji humu
 

Mi naamini kuna ndoa chungu sana and watu hutafuta faraja elsewhere ila if thats the case kwanini msiachane tu? My point kwenye situation nzima kama mume wa mtu kweli kamdondokea Maya kufa kuoza basi amuache tu mke mkubwa atafute ustaarabu mwingine... kwangu mimi ni bora uachike go through it kwamba nmeachika kuliko hii blindside wanayotaka kuifanya-to me hii ni brutal jamani... on the other side according to mleta mada or rather uelewa wangu mume wa mtu anapendwa kuliko bachelor na nakataa hoja ya mleta mada kuolewa na kaka wa watu simply coz he is a bachelor kwan yeye ndo hastahili mahaba ya 110%? Dada amuache tu bachelor wa watu na yeye apate atakayempenda kiukweli and not be treated kama 2nd option...
 
Ufike salama
 
Wow.......Bless you
Huwa wanakuwa na vikelele vya balehe zinawasumbua..... Waliopo kwenye mahusiano ya one woman man wametulia tu wanapanga the next anniversary atamsuprise vipi wife na zawadi nzuri na location gani.....
 
Divorce sio kazi ndogo mummy..hasa mkishazaa watoto...ndo mana watu huwa wanaishia tu kuonja onja nje wkt akiwa na misuko suko ama mapenzi yakipoa ndani...its for life.,
Na mfano mshatafuta mali sana pamoja nk ina complications kwa kweli
Na naona ni mbaya hasa km hapa mke wa jamaa atakua victim kuletewa stress na Maya ukubwani

kuolewa na bachelor mwenzie mi naona ndo maamuzi sahihi zaidi kwake.,huwezi jua pia labda wakikaa wote ndani nafsi itaelekea kwa mumewe zaidi.,mazingira yanabadilisha tabia na mioyo ya watu..

heri kila mtu awe na ndoa yake.,afu wabaki kupunguziana stress tu mana mambo ni mengi,.kuliko kuvunja mahusiano yote na kuathiri yule mke wa jamaa na huyu innocent bachelor
 
Hivi kumbe kupenda Mume wa mtu ni umalaya..!! Sikulijua hili
Duuh...kumbe malaya wapo wengi tu humu. Yaani unaacha kutafuta single mwenzio unahangaika na mume wa mtu kama si umalaya ni nini??
 

 
Nawe tulia ukishafilisiwa na huyo Dada ndipo utakuja gundua ni nyege ndio zilizokuwa zikikusumbua!
 

What if akijua mumewe ana a 2nd wife wa siri na wakwe na mawifi wanajua?
 
Umeongea kwa hisia sana nina imani mdogo wetu amekuelewa!
 
What if akijua mumewe ana a 2nd wife wa siri na wakwe na mawifi wanajua?
Na ndo mana simshauri aolewe na mume wa mtu..kwanini iwe siri!?manake something is wrong

aolewe na kijana mwenzie ila kama anaona anampenda sana wawe wanapasha tu kiporo.,ndoa na mume wa mtu asahau
 
Sawa Asante naelewa unachosema ila ujue sio rahisi ingekuwa rahisi nisinge kuja hapa
Nitachukua ushauri wako worry not
Mdogo wangu sikiliza wakubwa wanavyokushauri mwanaume habebi mimba kwahiyo hana hasara! Laiti ningekua na umri kama wako ningefanya jambo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…