Trapped to a married man

Nadhani familia za hivi huwa hazina baba Kama key figure na Ni za uswahili huko mfano hii ipo kwa diamond mama ana mpangia Hadi mwanawe michepuko so ukiona hyo familia ya hivo hata kuzaa huzai nao wanakuchafulia kizazi kwa tabia chafu wallah.
Kuolewa au kuwa na mwanaume ambae kwenye familia ni bread winner tayari jua una vita na ukoo.
 
Ikiwa ataweza kuhama kwa mkewe kuja kwako
Ataweza kuhama kwako kwenda kwamkewe au kwenda kwa kwingine
Kua na huruma
 
Hahaaaa njoo ipake roho yangu rangi ili iwe nzuri mkuu, by the way mwanangu wa kiume nitamlea kwa misingi yote ya utu, heshima na adabu ya kujali watu wote, Yani awe na standard zote za mtu aliyestaarabika
Naona una beef na huyo mdau, kakuandama huu uzi lol,
 
Mawifi na wakwe hawajahi kumpenda make.
 
Basi jibu na maamuzi tayari unayo kichwani.
 
Mume wa mtu!!! hayo mambo ni ya Ulaya na Marekani kwenye ndoa za mashoga. Africa na Uarabuni tuna "mume wetu au mume wao" polygamy is part and parcel of our culture usijione kama umetenda kosa la uhaini au umekula nyama ya mtu. Kama anaweza kutimiza mahitaji ya mke wa pili fungeni ndoa ya kimila. Tusichukue kasumba za wazungu waliokataza polygamy na kuruhusu/kuhalalisha homosexual/same sex marriages na prostitution.
 
Mami si tulishakubakiana uolewe na single huyo mume wa mtu awe mchepuko au?
Hahahahhahah hapo akili inakubali ila moyo unakataa kwa nguvu zote...ndio anabaki kuimagine good ending ni vile wengine tukiandika saaanaaa tunaweza kugundulika. Ila ningempa mfano hai kabisaaaaa
 
Reactions: amu
Mami si tulishakubakiana uolewe na single huyo mume wa mtu awe mchepuko au?
Hahaaa sio rahisi kwa huyo dada kumuacha ngosha wake... humu anawa zoom tu watu wanavyomwaga povu. Maana naona kila anavyojibu kuna namna anatafuta njia ya ku justify kuolewa kwa siri kwahiyo sidhani kama kuna litakaloongelewa humu limfanye abadili maamuzi yake.
 
Yaani hapa ni kutwanga maji kwenye kinu, kabla ya kuleta uzi alishafanya maamuzi, hapa alikuwa anahitaji apate watu wambariki uamuzi wake, kama hawa wachache wafanyavyo
 
Yaani hapa ni kutwanga maji kwenye kinu, kabla ya kuleta uzi alishafanya maamuzi, hapa alikuwa anahitaji apate watu wambariki uamuzi wake, kama hawa wachache wafanyavyo
Kabisa yani
 
Siku zote cha sirini huwa kitamu sana ila meza zikipinduliwa majuto ni mjukuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…