Trapped to a married man

Trapped to a married man

Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
You don't love that girl, all you like from her is how good she is on bed. Upendo hauelezeki, upendo haunyambuliki kama unavouelezea na kuunyambulisha.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Uwe makini sana kuujua upendo wa mtu kwako.

Binafsi kwa maelezo na historia ya nyuma mlonayo nadhani kuna kitu kama agano flani linalowavuta kujikuta mpo pamoja tena. Chunguza kwa makini sana, ikiwa ni agano maana mlishajuana zamani, baadae mtazaa na atakaa juu. Si kwamba anafanya makusudi ila ile dhambi ikishafanyika huwa inaficha ukweli mwingi na ndio maana vijana wengi husema "love is blind", in most cases love isn't blind until you have sex.

Ushauri:
Kwanin upande mishikaki akati waweza pata Boda yako mwenyewe? Naona uwezo wako wa maamuzi umefungwa maana kiakili za kawaida huwezi muacha mwanaume utakayekuwa huru nae ukakae na mwanaume ambaye mtakua mnapeana zamu na mwanamke mwenzako.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Hivi kwanini mnaoaga nyie ma man wenzangu?

Hizi mbuzi kama hii unaiweka ndani ya nini?
Hizi ni ku hit and run.

#YNWA
 
Hatelekezi familia anaendelea kuhudumia familia kama kawaida
Na nimejiwekea boundaries siwezi kumuingilia bi mkubwa
As much as I want to feel guilty about this lakini pia moyo wangu una haki pia
Mbona unataka kuhalalisha huu uhuni Dada?

Hiyo haikubaliki anza na huyo single tafuteni vyenu .
Hujui huyo jamaa na mkewe wametoka wapi
 
Heri hili kaburi limefukuliwa. Mtoa mada yupo thread mpya ya usaliti anamwaga jeuri yake kule

🤣🤣🤣🤣🤣umehama kule umekuja huku
Karibuni mjaze comments inaonekana mna hasira na maisha ya wengine
Comment ziwe fupi fupi ntapitia siku nikipata muda[emoji1422]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umehama kule umekuja huku
Karibuni mjaze comments inaonekana mna hasira na maisha ya wengine
Comment ziwe fupi fupi ntapitia siku nikipata muda[emoji1422]

Wamepanik hadi wamekufukunyua na vtu ambavo hata havihusiani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani ukiona hvo ujue uliwashika pabaya.. wanataka kusikia habari za wanawake kulalamika na kujikosesha furaha kisa wao chief endelea na huo ujeuri i love women like us[emoji1309]
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Interesting indeed!
 
Imebidi ni login nitie neno hapa.

ni fikra rahisi, hujui amepitia nini kwa mkewe, hadi kuzama kwako. Hicho anachokifuata kwako ipo siku kitaisha, au atakichoka au atakipata kwingine. Jiandae kuisoma namba.

pili, nikuambie kama mwanaume, tulivyo sisi hata uwe mzuri aje, hata utufanyie kila kitu, hata utoe tako, kuna muda mwanamke tunamkinai na kumuona wa kawaida, hapo ndipo jiandae kuona mtu anarudi kwa mkewe na time hyo ushakua single mother tayari.

tatu, mke wa huyo jamaa unadhani atakubali? Jiandae kurogwa au kufanyiwa malipizi yanayoweza kukuacha kilema(kama usipopata bahati ya kufa).

nne, jiandae kubeba masononeko ya watoto wa mke wa huyo jamaa.

ushauri, si kila tukitakacho wanadamu tunakipata, sbb vingine mazingira hayaruhusu. Ndio maana ya kuwa mtu mzima. Oana na huyo unmarried guy.
 
Mwenye Uzi kakimbilia kulee
Ni vile tu hawezi kuufuta huu.

Hahahaha

Mbona huku hujichanganyi kuni quote dada
yani nikimbie uzi wangu??kwani nimeua??We unafikiri kila mwanamke mwepesi mwepesi eeh[emoji28][emoji28][emoji28]huamini kuna watu kama sisi

Nimekuuliza unataka kushare Dudu na Mimi?hebu nijibu basi muda unaenda na mume anakaribia kurudi[emoji4]
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Ukiona mtu anakutukana ujue hana hoja ya msingi maana kama ni makosa wewe siyo wa kwanza!!

Kimsingi mapenzi ni mpatano wa hisia baina ya wapendanao, hivyo siyo vizuri kusema ulikuwa hujielewi, kwa kuwa wewe ni mwanamke na kwa mujibu wa maelezo yako umesema hujaolewa basi haina shida maana kimaumbile (kwa asili) mwanamke hawezi kuolewa na wanaume wawili, lakini asili hiyo hiyo imempa Mwanaume uwezo wa kuoa wake hata mia moja kutegemeana na afya yake na nguvu ya uchumi alionao.

Kwa hiyo ikiwa na wewe umempenda kwa dhati na unahisi anafaa kuwa mumeo basi kubali kuolewa naye kwa ndoa rasmi ila mwambie isiwe ndoa ya siri ahakikishe kuwa ndugu zake pamoja na mke wake wanajua kwa ajili ya kuondoa mazonge na sintofahamu inayoweza kutokea siku za mbeleni.

Kama ni mkristo na dini yake hairuhusu kuoa wake wengi, mshauri mfunge ndoa ya kiserikali au kimila maana kiukweli MUNGU hajawahi kumpangia binadamu (Mwanaume) idadi ya wanawake wa kuoa bali ni sheria zetu tu. (Hata waislamu hawakupangiwa kuoa wake wanne na MUNGU bali utaratibu huo uliwekwa na waliobaki baada ya Mtume Muhamad SW kwenda zake) Kama huamini chunguza Biblia uone kama kuna nabii aliyekuwa na mke mmoja (hakuna) walioa wake wengi na hakuna mahali tumeona wakihukumiwa dhambi kwa kuoa wake wengi.

Nakutakia ndoa njema!!!
 
Wife yuko njema pia na ninampenda mno na sipo tayari kumuacha ila ndio hivyo nampenda mwanamke mwingini pia mkuu.
Maoni yangu ni kuwa kama unaweza kuwahudumia wote wawili pamoja na wanao muoe tu, ila hakikisha ndoa inakuwa rasmi na mkeo pamoja na ndugu zako na ndugu zake wanajua ili kuepusha sintofahamu pale utakapokuwa umetangulia mbele ya haki (Sikuombei kifo cha mapema)
 
It feels better kujua kuna mtu ana pitia ninacho kipitia
Naomba nikuulize inamaana mkeo humpendi au ni nini kinatokea?
Utamuoaje bila wife kujua?

Mioyo ya wanaume imeumbwa inapenda Zaidi ya mwanamke mmoja, ila binaadamu tu wenyewe tunakuwa wabishi.

Mwanamme hajaumbiwa mwanamke mmoja, na ndio maana wanawake wakawa wengi sana kwenye dunia ili washee waume.
 
Imebidi ni login nitie neno hapa.

ni fikra rahisi, hujui amepitia nini kwa mkewe, hadi kuzama kwako. Hicho anachokifuata kwako ipo siku kitaisha, au atakichoka au atakipata kwingine. Jiandae kuisoma namba.

pili, nikuambie kama mwanaume, tulivyo sisi hata uwe mzuri aje, hata utufanyie kila kitu, hata utoe tako, kuna muda mwanamke tunamkinai na kumuona wa kawaida, hapo ndipo jiandae kuona mtu anarudi kwa mkewe na time hyo ushakua single mother tayari.

tatu, mke wa huyo jamaa unadhani atakubali? Jiandae kurogwa au kufanyiwa malipizi yanayoweza kukuacha kilema(kama usipopata bahati ya kufa).

nne, jiandae kubeba masononeko ya watoto wa mke wa huyo jamaa.

ushauri, si kila tukitakacho wanadamu tunakipata, sbb vingine mazingira hayaruhusu. Ndio maana ya kuwa mtu mzima. Oana na huyo unmarried guy.
Kwanini usimlaani huyo mwanaume mboo mkononi, dada katongozwa na mwanaume hajatulia then milaana una mpa mwanamke, huwa sielewi hizi double standard aisee.
 
🤣🤣🤣🤣🤣umehama kule umekuja huku
Karibuni mjaze comments inaonekana mna hasira na maisha ya wengine
Comment ziwe fupi fupi ntapitia siku nikipata muda[emoji1422]
Tunakutakia ndoa njema. Hiyo umeniambia kule kuwa inakuja soon
 
Back
Top Bottom