Trapped to a married man

Trapped to a married man

Uwe makini sana kuujua upendo wa mtu kwako.

Binafsi kwa maelezo na historia ya nyuma mlonayo nadhani kuna kitu kama agano flani linalowavuta kujikuta mpo pamoja tena. Chunguza kwa makini sana, ikiwa ni agano maana mlishajuana zamani, baadae mtazaa na atakaa juu. Si kwamba anafanya makusudi ila ile dhambi ikishafanyika huwa inaficha ukweli mwingi na ndio maana vijana wengi husema "love is blind", in most cases love isn't blind until you have sex.

Ushauri:
Kwanin upande mishikaki akati waweza pata Boda yako mwenyewe? Naona uwezo wako wa maamuzi umefungwa maana kiakili za kawaida huwezi muacha mwanaume utakayekuwa huru nae ukakae na mwanaume ambaye mtakua mnapeana zamu na mwanamke mwenzako.
Hayajakukuta best
Mapenzi sio suala la uhuru tu
Ni connection na mwenzio
Urafiki, kuelewana ,kupendana nk nk

kuwa na uhuru na mtu haimaanishi ndo mtapendana
Waume za watu ni wengi why aangukie kwa huyo?mapenzi tu si kingine
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi.

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Maya ushawahi toka kimapenzi na huyu single?
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi.

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi, mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine.

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali, well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Tukisema nyie viumbe ni tatizo mnakuwa wakali, do you even hear yourself? Kama kweli anakupenda si angemuacha huyo mke wake? your just another easy victim in so called pleasure play hamna cha zaidi.
Utakuta kuna jamaa yuko single anakutolea macho na umemturn down for such fake promises and day dreams wake up madame..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa " ndoa ya kisirisiri" and still you believe he loves you very much kiasi cha kukuweka njiapanda ati hujui cha kuamua?? Amazing! Try to convince him to divorce his wife ili akuoe wewe openly hapo utaelewa how married man real act.
Usihadaike na kujulikana kwenye familia yake, eti na wao wanaungana na nyie kwenye ndoa ya siri?? Trust me, siku utakayokubali kuolewa kisiri, ndo siku mateso yako yatakapoanza and you will regret.

All the best
 
Ulikuwa unamfinyia kwa ndani nn!? [emoji23] [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah best acha basi hio ni daily routine sio ajabu🤣🤣[emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️[emoji1436]‍♀️
 
Hebu tupe hekaya ilikuwaje wale wawili waliokufungulisha Uzi ukatemana nao na Kisha ukaolewa na mwingine?

Nitakuja kuweka update hapa ili nipunguze maswali since ni kisa nikileta hapa hopefully kuna kitu cha kujifunza labda
 
Je, unadhani anakupa furaha ya moyo? Niwe straight ie Sexual satisfaction?

Furaha ya moyo ndio,nadhani ni mtu ambae nime connect naë kuliko mtu yoyote,mahusiano yetu ni urafiki zaidi ya mapenzi hili nililijua baada ya kuachana na mume wa mtu na kurudi kwake tu
Sexual satisfaction hapana
 
Back
Top Bottom