Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua unenda kumwona mchezaji bora wa dunia kumbe unenda kumwona huyo bora hela yako ukamwangalie chirwa mapinduzi cup4000 haipotei bure wazee bila kumuona king Messi. Na ni Wengi wanatamani kwenda kumuona,na jeshi lake wakina aguero, lcardi na Dybala. Hawa maprofessional bila kuwepo huko urussi world cup haina msisimko
Nikajua unenda kumwona mchezaji bora wa dunia kumbe unenda kumwona huyo bora hela yako ukamwangalie chirwa mapinduzi cup
Yule anaebeba ndoo kwa kila team anayoichezea kabeba na Lisbon sjui na man u na benabeu ndio hatusemi. Sio huyo anaejua tu kua team maishani mwake ni Barcelona tu. Jembe hata liende green warriors litabeba kombe LA africaNi nani huyo bora. Nataka nimjue mkuu. Au ndiye yule anaewategemea mabeki kufunga! Wakina Ramos
Yule anaebeba ndoo kwa kila team anayoichezea kabeba na Lisbon sjui na man u na benabeu ndio hatusemi. Sio huyo anaejua tu kua team maishani mwake ni Barcelona tu. Jembe hata liende green warriors litabeba kombe LA africa
Uwezo hana ndio mana Argentina yenyewe ameshindwa kupata mafanikio. Anajificha kwenye kivuli cha baca aende man u PSG Munich uone kama hatoishia kubeba jeziTimu gani kwake yenye hadhi kubwa na bora kama sio Barcelona!!!! Unataka atoke Barca aende timu yenye hadhi na yeye??? Haya maneno ya kwenye kahawa mkuu.